CCM: Shonza ameshindwa kazi!

CCM: Shonza ameshindwa kazi!

Kweli CCM matahira Jakaya mwenyewe anamgwaya DR Slaa kweli walidhani Ukuta wa DR Slaa ungepenya kirahisi,UKuta wake uko kama ule unaozingira mbegu ya kiume ikiungana na yai la mama unaitwa Zonar Pelucida vikishaungana hakuna mbegu nyingine yeyote inapenya ndivyo alivyo madhubuti Dr Slaa , Zitto mwenyewe kamshindwa DR
KIKWETE jembe wewe huwez mfananisha na babu yako halafu chadema mkikosolewa mnakimbilia kusema mamluki
 
Hahahahahaha
yani wamea hamua kumtukana kuwa kashindwa kazi, hivi walitegemea ataweza hiyo kazi kwa jinsi hasivyo na kitu kichwani? Pole sana Mwigulu Nchemba!
 
Last edited by a moderator:
Huyu dada ni mnafiki sana, hafai hata kidogo, hata kama akiomba msamaha kwenye kamati kuu ya cdm, wamchinjie baharini. Kilichobakia kwa huyu malaya wa siasa ni vijana wa mjini kama kina Kim kumpiga p..mbu tu basi...
 
Huwezi kujichunguza kwa mda kidogo huenda umechanganyikiwa bila kujijua? Au uende hospitali upime akili
 
Huyu mleta mada amekunywa viroba bado anajiskia kizunguzungu.
 
Malizeni matatizo yenu msitafute mchawi, mnajiloga wenyewe bila kujijua
 
'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'

Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.

Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.

Wenu,
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar

Juliana Shonza ni mke wa mtu au single? Naomba jibu tafadhali........
 
Last edited by a moderator:
mtahangaika sana kamwe hamtashinda CCM #1 ukabila wenu na udini wenu CDM ndo unawaponza
Hizo tuhuma mnazotegemea, kueneza ----- wa ukanda, udini na ukabila ni kuturejesha enzi za giza, mnawatumia watu wajinga kuhatarisha amani yetu.
Waweza thibitisha tuhuma hizo? Shonza nae juzi katoa tuhuma ati wamefukuzwa watu wa Mbeya tu, Kaskazini wameachwa! Mnajidhalilisha, pambaneni kimkakati sio kichawi
 
Sheria kuu mbili za ccm.

1.Haina rafiki au adui wa kudumu.

2.fuata sheria namba moja.
 
Hii ni lesson kwa waasi wote.. hakuna namna ya kuuzuia upinzani isipokuwa kusafisha nyumba mliyoichafua.
 
nikanyage tu usiniumize ili 2015 nikudhihirishie ujembe wetu nusu saa tu baada ya vituo kufunguliwa tunanyakua ushindi

Hii nchi haijazaliwa kwa ajili ya ccm peke yako.
Hata mzee wako analitambua hilo.
 
Back
Top Bottom