CCM: Shonza ameshindwa kazi!

CCM: Shonza ameshindwa kazi!

Mleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?
Ukweli unaumaa ndugu! Tukipima maelezo yako na mleta huu uzi wewe nafikiri ndo unatakiwa ukapimwe akili, ulitakiwa ujibu hoja sio unakuja na masuala ya Ruzuku, yaani kila kukicha nyie na Dr. Slaa tu lakini mtambue MTASHINDANA SANA LAKINI HAMTASHINDA.
 
only a foolish dog barks the flying birds CDM mmeishiwa

Hesabu za 2012 kwenye Chaguzi ndogo, matokeo yanaonyesha CCM ndio wameishiwa, viti na majimbo waliyokuwa wanashikilia 2010 vimeenda upinzani.
Huoni hilo?
 
Hii nchi haijazaliwa kwa ajili ya ccm peke yako.
Hata mzee wako analitambua hilo.
unajua sisi ni wazee wa jembe na nyundo??? maana yake ni wazee wa kazi hangaikeni tu na mle ruzuku zetu wavuja jasho ila 2015 mtaisoma namba
 
Hesabu za 2012 kwenye Chaguzi ndogo, matokeo yanaonyesha CCM ndio wameishiwa, viti na majimbo waliyokuwa wanashikilia 2010 vimeenda upinzani.
Huoni hilo?
vingapi??? tutarudisha majimbo mengi sana maana nyie hamna vision wala mission huoni hata slaa hakujiamini mpaka akamtaka sitta agombee kwenye chama chao???
 
Mleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?
Kwa hiyo ni kweli ila kikao kilikuwa Kinondoni siyo Lumumba! Kweli CCM ni Chama Cha Mashetani
 
vingapi??? tutarudisha majimbo mengi sana maana nyie hamna vision wala mission huoni hata slaa hakujiamini mpaka akamtaka sitta agombee kwenye chama chao???
Kweli wewe kama jina lako, Unajikanyaga tu kama akili inayokutuma kuwa CCM
 
Hizo tuhuma mnazotegemea, kueneza ----- wa ukanda, udini na ukabila ni kuturejesha enzi za giza, mnawatumia watu wajinga kuhatarisha amani yetu.
Waweza thibitisha tuhuma hizo? Shonza nae juzi katoa tuhuma ati wamefukuzwa watu wa Mbeya tu, Kaskazini wameachwa! Mnajidhalilisha, pambaneni kimkakati sio kichawi
hao akina shonza ni viherehere vyao tu CHADEMA kimeanzishwa kwa malengo ya kabila fulani tu babu anatambua hilo ndo mana wanamlipa mamilioni asimamie maslahi yao hakika hatupo tayari kukabidhi nchi mifukoni mwa watu kwamwe na abadan
 
vingapi??? tutarudisha majimbo mengi sana maana nyie hamna vision wala mission huoni hata slaa hakujiamini mpaka akamtaka sitta agombee kwenye chama chao???

Arumeru Mash kilikuwa CCM, Kata ya Daraja 2 Arusha kilikuwa CCM. Nilisikitika zaidi kuwa CCM walipoteza Kata ya Ipole huko Sikonge!
Hivyo ni vichache nivijuavyo. Kwa kuwa unasema mtavirudisha 2015 tusubiri ifike, lkn ujinga mnaotumia kumwaga ----- wa kidini, kikanda na kikabila utawagharimu sana, shindaneni kwa hoja
 
Kweli CCM matahira Jakaya mwenyewe anamgwaya DR Slaa kweli walidhani Ukuta wa DR Slaa ungepenya kirahisi,UKuta wake uko kama ule unaozingira mbegu ya kiume ikiungana na yai la mama unaitwa Zonar Pelucida vikishaungana hakuna mbegu nyingine yeyote inapenya ndivyo alivyo madhubuti Dr Slaa , Zitto mwenyewe kamshindwa DR
saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Juliana Shonza ni mke wa mtu au single? Naomba jibu tafadhali........
Itakuwa vizuri kama Zitto Kabwe, Mwigulu Nchemba na Martin Shigella watakuja hapa kukujibu, maana inasemekana wanamgongana mkubwa sana wa kimaslahi katika hili.
 
'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'

Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.

Dar
Naona mko desperate, mtoa hoja tofautisha kati ya gari kubwa CCM na vibaka wake.

Uliyemquote ni kibaka mwenye kesi mahakamani, sio tamko la CCM hilo.
 
Arumeru Mash kilikuwa CCM, Kata ya Daraja 2 Arusha kilikuwa CCM. Nilisikitika zaidi kuwa CCM walipoteza Kata ya Ipole huko Sikonge!
Hivyo ni vichache nivijuavyo. Kwa kuwa unasema mtavirudisha 2015 tusubiri ifike, lkn ujinga mnaotumia kumwaga ----- wa kidini, kikanda na kikabila utawagharimu sana, shindaneni kwa hoja
acha pambio dakika 90 itajulikana 2015 nakuhakikishia dakika ya 30 tu tunyakua ushindi chezea CCM weye
 
Malizeni matatizo yenu msitafute mchawi, mnajiloga wenyewe bila kujijua

Hata siku moja!mwizi hawezi kubali kuwa yeye ndiye aliyeiba.mchawi hawizi jitokeza kama yeye ni mchawi. Hivyo huyo Nepi wenu asituletee hadithi za kitoto.
 
Hizi ni porojo tu. Sidhani kama CCM wanao hata huo muda wa kumjadili Juliana.
 
Mleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?

humjui mzee Tupa Tupa wewe. Wenyeji wanamjua ndo maana wanaenda direct kutoa maoni
 
Back
Top Bottom