Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
mnejua yanayotendwa na viongoi wenu wa CDM hakika mngetoa machozi ya damu
we ungejua ya Nchemba tu ungetoa machozi ya kinyesi
mnejua yanayotendwa na viongoi wenu wa CDM hakika mngetoa machozi ya damu
AAAAH wapiwe ungejua ya Nchemba tu ungetoa machozi ya kinyesi
Nauliza tu hv yule waziri anayetembea na SMG akaibiwa na changu morogoro yupo wizara gani vile....
Mleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?
AAAAH wapi
Mimi mwenyewe nilikuwa na wasiwasi na umakini wa Juliana Shonza ni kama hata kutetea hoja kwake ni kama alishaugua malaria sugu na kuchelewa kutibiwa hivi. Siku zote akiongea zen nework inakata kwa muda kisha uendelea. Hata hao walimpa cheo hicho hawa kuwa makini.Waliompa kazi ndiyo walifanya makosa kutoelewa uelewa wa Juliana Shonza!!! Ni mtu ambaye hana umakini wowote, wapo watu ambao wanafanya kazi kwa umakini lakini siyo yeye.
'Nani alimwambia kuwa
awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA
iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya
Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa.
Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'
Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa
Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao
kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es
Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika
kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili
aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi.
Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo
alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya.
Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.
Wenu,
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba
Dar
vingapi??? tutarudisha majimbo mengi sana maana nyie hamna vision wala mission huoni hata slaa hakujiamini mpaka akamtaka sitta agombee kwenye chama chao???
'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'
Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.
Wenu,
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar
Umeshiba makande usiku umekuja na Pumba
Nauliza tu hv yule waziri anayetembea na SMG akaibiwa na changu morogoro yupo wizara gani vile....
Sheria kuu mbili za ccm.
1.Haina rafiki au adui wa kudumu.
2.fuata sheria namba moja.
nakushauri ulete chanzo cha habari chakuaminika badala ya kupiga porojo.kama chanzo ni wewe mwenyewe unatakiwa ujitokeze kama verified user ili ushahidi utakapotakiwa uweze kuwajibishwa .'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'
Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.
Wenu,
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar
Mda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana.,ujinga ni nusu ya mautiMleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?