Waliompa kazi ndiyo walifanya makosa kutoelewa uelewa wa Juliana Shonza!!! Ni mtu ambaye hana umakini wowote, wapo watu ambao wanafanya kazi kwa umakini lakini siyo yeye.
Waliompa kazi ndiyo hawakufanya makosa kwani ndiyo uelewa wao wa Juliana Shonza!!! Ni mtu ambaye hana umakini wowote kama waliomtuma, wapo watu ambao wanafanya kazi kwa umakini lakini siyo yeye wala wao wala chama chao au mwenyekiti wao dhaifu dhufuli.
'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'
Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.
Wenu, VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar
Kweli sasa hivi CCM kwishney!! Badala ya chama chao kupanga mikakati ya kumkomboa mtanzania masikini kutokana na maisha magumu ya kupindukia yanayomkabili, ili ile ndoto ya maisha bora kwa kila mtanzania itimie, wao badala yake wanakaa vikao vya siri, usiku na mchana, kupanga mikakati ya uovu, wa namna ya kuiua CDM!! Lakini wasichokijua Mungu siku zote huwa anakuwa upande wa wanyonge wanaoonewa, kwa maana kutokana na mipango yao miovu wanayoipanga kila kukicha ili CDM kife, sasa ni dhahiri chama chao ndiyo kitatangulia kwenda "kuudongo" na wataiacha CDM ikiendelea kupeta!!!
'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'
Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.
Wenu, VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar
Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.WAMPE HATA CHEO CHA KUPIKA CHAI KAMA WALICHOMPA TAMBWE HIZZA.
Mleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?
Binti yangu Juliana nakupa ushauri wa bure. Nenda kwa viongozi wa CDM ukatubu na kuungama kama bado una shauku ya kuendelea na siasa. Kwa lugha za dharau ulizotumia kuwadhalilisha viongozi wako, hakuna chama chochote kitakachokukubali, hata CCM yenyewe, vinginevyo achana na siasa utafute utaratibu mwingine wa kuishi.
Kwa mazingira ya sasa, ni vema vyama vya siasa na hasa CCM wakaanza kujikita kwenye ushindani wa kweli; sera & utendaji. Kuendelea kuwekeza kwenye siasa za kimamluki ni kielelezo cha uchofu. Lakini pia CCM waache kuwaharabia future vijana. Mamluki kama Shonza na wenzake watapata shida sana huko mbeleni. Nani atamwamini msaliti? Ni bahati mbaya sana vijana nao wameshindwa kujizuia kuingia kwenye hiyo mikakati!
'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'
Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.
Wenu, VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.