CCM ndani ya viwango vya mishahara (Salary Scales) huwa mnaweka nini??

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,307
33,925
Watanzania wengi walioajiriwa hutazama zaidi ukubwa wa viwango vya mishahara lakini sidhani kama huwa wanahoji ndani ya viwango hivyo vya mishahara kunawekwa nini !!??

Kwa mfano labda kiwango cha mshahara kiwe ni shilingi 350,000. Je muajiri ndani ya hiyo 350,000 ameweka vitu gani na kwa mngawanyo upi? Maana kabla ya kodi haijaanza kukatwa ni vizuri mtu akajua amewekewa nini na nini kwenye mshahara wake.

Kwa mfano kwenye mshahara wa Shilingi 350,000 muajiri kakadiria huo mshahara utamudu kununua nini na nini mpaka utakapolipwa mshahara mwingine?? Kodi ya nyumba, nauli ya kukufikisha kazini na kukurudisha nyumbani, gharama za nishati, chakula?

bila ya kujua muajiri kakusudia nini kwenye mshahara anaokulipa ni kazi bure kudai nyongeza ya mshahara maana hata huo ulio nao hujui ilikuwaje muajiri wako akaamua ulipwe hivyo??

CCM mishahara ya watanzania hukokotolewa kwa kutumia kigezo gani??
 
CCM, CCM haaaaa haaaa Chama cha mapinduzi CCM namba one.
 

Attachments

  • FB_IMG_1704370230255.jpg
    FB_IMG_1704370230255.jpg
    56.9 KB · Views: 9
Watanzania wengi walioajiriwa hutazama zaidi ukubwa wa viwango vya mishahara lakini sidhani kama huwa wanahoji ndani ya viwango hivyo vya mishahara kunawekwa nini !!??

Kwa mfano labda kiwango cha mshahara kiwe ni shilingi 350,000. Je muajiri ndani ya hiyo 350,000 ameweka vitu gani na kwa mngawanyo upi? Maana kabla ya kodi haijaanza kukatwa ni vizuri mtu akajua amewekewa nini na nini kwenye mshahara wake.

Kwa mfano kwenye mshahara wa Shilingi 350,000 muajiri kakadiria huo mshahara utamudu kununua nini na nini mpaka utakapolipwa mshahara mwingine?? Kodi ya nyumba, nauli ya kukufikisha kazini na kukurudisha nyumbani, gharama za nishati, chakula?

bila ya kujua muajiri kakusudia nini kwenye mshahara anaokulipa ni kazi bure kudai nyongeza ya mshahara maana hata huo ulio nao hujui ilikuwaje muajiri wako akaamua ulipwe hivyo??

CCM mishahara ya watanzania hukokotolewa kwa kutumia kigezo gani??
Formula ya mshahara haiangalii utamudu vipi maisha yako,
Inaangalia unaleta thamani gani ? Ndio mana viwango vinatofautiana, ingekuwa wanaangalia utamudu nini na nini basi tungekuwa na mishahara flat rate, ila ndo hivo
Daktar analipwa zaidi ya mwalimu,
Mwalimu analipwa zaidi ya mfanya usafi,

Ni hivyo tu mkuu, ukitaka mshahara mkubwa ongeza thamani yako basi, sio kulia lia,

Nb, hio ni principle ya dunia nzima,
 
Watanzania wengi walioajiriwa hutazama zaidi ukubwa wa viwango vya mishahara lakini sidhani kama huwa wanahoji ndani ya viwango hivyo vya mishahara kunawekwa nini !!??

Kwa mfano labda kiwango cha mshahara kiwe ni shilingi 350,000. Je muajiri ndani ya hiyo 350,000 ameweka vitu gani na kwa mngawanyo upi? Maana kabla ya kodi haijaanza kukatwa ni vizuri mtu akajua amewekewa nini na nini kwenye mshahara wake.

Kwa mfano kwenye mshahara wa Shilingi 350,000 muajiri kakadiria huo mshahara utamudu kununua nini na nini mpaka utakapolipwa mshahara mwingine?? Kodi ya nyumba, nauli ya kukufikisha kazini na kukurudisha nyumbani, gharama za nishati, chakula?

bila ya kujua muajiri kakusudia nini kwenye mshahara anaokulipa ni kazi bure kudai nyongeza ya mshahara maana hata huo ulio nao hujui ilikuwaje muajiri wako akaamua ulipwe hivyo??

CCM mishahara ya watanzania hukokotolewa kwa kutumia kigezo gani??
1.UCCM au UKADA na UNAMJUA NANI...

2. KAZI ZA WATOTO WA VIGOGO ZIWE NA MISHAHARA MINONO

3. KAZI ZA WATOTO WA MASKINI ZIWE NA MISHAHARA MIDOGO

NDIO MAANA BOT WAPO WAO NA MISHAHARA NI MINONO NA UALIMU WAPO MASKINI NA MISHAHARA NI 300K PER MONTH.
 
Formula ya mshahara haiangalii utamudu vipi maisha yako,
Inaangalia unaleta thamani gani ? Ndio mana viwango vinatofautiana, ingekuwa wanaangalia utamudu nini na nini basi tungekuwa na mishahara flat rate, ila ndo hivo
Daktar analipwa zaidi ya mwalimu,
Mwalimu analipwa zaidi ya mfanya usafi,

Ni hivyo tu mkuu, ukitaka mshahara mkubwa ongeza thamani yako basi, sio kulia lia,

Nb, hio ni principle ya dunia nzima,
Hivi wewe unaongea kutumia makalio au ??

Ualimu na Ubunge we unaona bora ubunge ndio wenye thamani ???
 
Formula ya mshahara haiangalii utamudu vipi maisha yako,
Inaangalia unaleta thamani gani ? Ndio mana viwango vinatofautiana, ingekuwa wanaangalia utamudu nini na nini basi tungekuwa na mishahara flat rate, ila ndo hivo
Daktar analipwa zaidi ya mwalimu,
Mwalimu analipwa zaidi ya mfanya usafi,

Ni hivyo tu mkuu, ukitaka mshahara mkubwa ongeza thamani yako basi, sio kulia lia,

Nb, hio ni principle ya dunia nzima,
Thamani inapimwa kwa vyeti na uzowefu. Nakubali.

Lakini ikishapimwa huyo anayekupa mshahara kama haangalii mshahara wako utamudu kuendesha vipi maisha yako anakadiria huo mshahara kwa kutumia Kanuni gani!!??
 
Formula ya mshahara haiangalii utamudu vipi maisha yako,
Inaangalia unaleta thamani gani ? Ndio mana viwango vinatofautiana, ingekuwa wanaangalia utamudu nini na nini basi tungekuwa na mishahara flat rate, ila ndo hivo
Daktar analipwa zaidi ya mwalimu,
Mwalimu analipwa zaidi ya mfanya usafi,

Ni hivyo tu mkuu, ukitaka mshahara mkubwa ongeza thamani yako basi, sio kulia lia,

Nb, hio ni principle ya dunia nzima,
Kama ndio hivyo kwann fund ume me WA shirika a na b watofautine mshahara ikiwa wote Elim sawa na kisa tuu tahasisi tofaut? ?
 
Hivi wewe unaongea kutumia makalio au ??

Ualimu na Ubunge we unaona bora ubunge ndio wenye thamani ???
Endelea kutumia kichwa kufikiria, ukimaliza tafuta nchi ambayo Mwalimu analipwa japo nusu ya mshahara wa mbunge, ukiipata njoo nipige nipo hapa Dodoma,

Vitu vingine ndivyo vilivyo hapa duniani, hata upige kelele kiasi ila mbunge ataendelea kulipwa hela nyingi kuliko mwalimu kwa sababu ana offer vitu zaidi, ndio maana mbunge ana ulinzi mwalimu hana,
Hata utukane matusi yote ila huo ndio ukweli na hauwezi ubadilisha kamwe,
 
Thamani inapimwa kwa vyeti na uzowefu. Nakubali.

Lakini ikishapimwa huyo anayekupa mshahara kama haangalii mshahara wako utamudu kuendesha vipi maisha yako anakadiria huo mshahara kwa kutumia Kanuni gani!!??
Sahihi kabisa, una muajiri mtu tena ajira ya kudumu una mpa mshahara laki,Tatu au tano .na unataka a wahi kazin,nafikiri hoja ipo ya kutazama,mchanganuo WA kipato,

Kwa mantiki hii mtu anaachaje,kuiba,kuokea,rushwa,wakati mahitaji yake makubwa kuliko akipatacho
 
Thamani inapimwa kwa vyeti na uzowefu. Nakubali.

Lakini ikishapimwa huyo anayekupa mshahara kama haangalii mshahara wako utamudu kuendesha vipi maisha yako anakadiria huo mshahara kwa kutumia Kanuni gani!!??
Mkuu hio ni formula ya dunia nzima,
Boss hawez angalia utaishi vip, anaangalia thamani na nin unampa, ndio mana hapa hapa dar kuna watu wanalipwa 90k kwa mwezi ambayo hata chumba sebule haitoshi kodi,

Ila ndio hivyo tena ni system ya dunia nzima, USA utaona watu wanafanya kazi hadi sehemu tatu ili kuishi, ndio formula ya maisha sio kwamba kuna mtu aliweka,

Ukitaka mshahara mkubwa ongeza thamani yako, sio kwenda kulia kwa wanasiasa, dunia ni dog eat dog society, usitake kuwa mnyonge
 
Sahihi kabisa, una muajiri mtu tena ajira ya kudumu una mpa mshahara laki,Tatu au tano .na unataka a wahi kazin,nafikiri hoja ipo ya kutazama,mchanganuo WA kipato,

Kwa mantiki hii mtu anaachaje,kuiba,kuokea,rushwa,wakati mahitaji yake makubwa kuliko akipatacho
Mawaziri nao wanaiba sanaaaa, licha ya mshahara mkubwa,

Kwan mkuu, wewe mshahara wa house girl wako ulitumia formula gani kuupata ?
 
Kama ndio hivyo kwann fund ume me WA shirika a na b watofautine mshahara ikiwa wote Elim sawa na kisa tuu tahasisi tofaut? ?
Hapo wataangalia thamani ya shirika,
Mashirika yaliyo stable yanalipa vyema tofaut na yanayojitafuta
 
Walichowin CCM ni kuwapa watu elimu duni ili wasijitambue humo ndio wanapitia maana watu wasiojua tofauti ya haki zao na wajibu wao ni wengi.

Unaweza kukuta mhitimu wa shahada chuo kikuu hajui hata haki zake za msingi akionewa ila akisikia singeli na miso misondo hayo ndio mambo CCM wanayapenda na kuyapa hype.

Angalia list ya nyimbo zinazofungiwa leo na zinazotrend kimaudhui zipo vipi utanielewa.
 
CCM Imetudharau Sana, Ifike Mei Mosi Sasa Utawaona Tshirt Na Kofia
Haa
 
Thamani inapimwa kwa vyeti na uzowefu. Nakubali.

Lakini ikishapimwa huyo anayekupa mshahara kama haangalii mshahara wako utamudu kuendesha vipi maisha yako anakadiria huo mshahara kwa kutumia Kanuni gani!!??
Samahani
Kama kuna mtu amewahi muajiri mtu kwa kazi yoyote ya shamba , mifugo au kazi za ndani huwa anazingatia nini kwenye makadirio ya mshahara!!!! Je utaangalia ni vipi anaishi umlipe shilingi ili amudu maisha yake akiwa anafanya kazi yako??
Au utaangalia kwa hilo eneo atakalo kiwepo lina umuhimu & faida kwako ( udhamani) wa anacho fanya!?
#SITAKI MFANO HUU ULINGANISHWE NA MISHAHARA YA KISIASA
#SIASA NI WIZI , SIASA NI UTAPELI WA KIPUUZI KWA KUMPA MAMLAKA TAPELI.
 
Serikali ya fisiemu walichofanya waliondoa allowances kusomeka kwenye salary slip ili kuficha mishahara kiduchu, fikiria mshahara wa laki tatu uuainishe katika allowance zile za muhimu, mfano, nyumba, usafiri, maji, umeme......ina maana allowances peke yake zinakula mshahara mzima....hapo hatujaweka posho ya chakula unapokuwa kazini.
 
Back
Top Bottom