Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
Watanzania wengi walioajiriwa hutazama zaidi ukubwa wa viwango vya mishahara lakini sidhani kama huwa wanahoji ndani ya viwango hivyo vya mishahara kunawekwa nini !!??
Kwa mfano labda kiwango cha mshahara kiwe ni shilingi 350,000. Je muajiri ndani ya hiyo 350,000 ameweka vitu gani na kwa mngawanyo upi? Maana kabla ya kodi haijaanza kukatwa ni vizuri mtu akajua amewekewa nini na nini kwenye mshahara wake.
Kwa mfano kwenye mshahara wa Shilingi 350,000 muajiri kakadiria huo mshahara utamudu kununua nini na nini mpaka utakapolipwa mshahara mwingine?? Kodi ya nyumba, nauli ya kukufikisha kazini na kukurudisha nyumbani, gharama za nishati, chakula?
bila ya kujua muajiri kakusudia nini kwenye mshahara anaokulipa ni kazi bure kudai nyongeza ya mshahara maana hata huo ulio nao hujui ilikuwaje muajiri wako akaamua ulipwe hivyo??
CCM mishahara ya watanzania hukokotolewa kwa kutumia kigezo gani??
Kwa mfano labda kiwango cha mshahara kiwe ni shilingi 350,000. Je muajiri ndani ya hiyo 350,000 ameweka vitu gani na kwa mngawanyo upi? Maana kabla ya kodi haijaanza kukatwa ni vizuri mtu akajua amewekewa nini na nini kwenye mshahara wake.
Kwa mfano kwenye mshahara wa Shilingi 350,000 muajiri kakadiria huo mshahara utamudu kununua nini na nini mpaka utakapolipwa mshahara mwingine?? Kodi ya nyumba, nauli ya kukufikisha kazini na kukurudisha nyumbani, gharama za nishati, chakula?
bila ya kujua muajiri kakusudia nini kwenye mshahara anaokulipa ni kazi bure kudai nyongeza ya mshahara maana hata huo ulio nao hujui ilikuwaje muajiri wako akaamua ulipwe hivyo??
CCM mishahara ya watanzania hukokotolewa kwa kutumia kigezo gani??