KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 733
Hahahahaaaaaa uuuuwii,mbavu zangu mie,kumbe zile buku kumi kumi zishaisha wanaenda zao kwao hawajui hata agenda za mkutano wenyewe,hongera sana mkuu sosoliso kwa taarifa nzuri,ee M/Mungu wachape kiboko kimoja hawa wauaji masisiem mpaka yajute kucheza na ummaHa ha ha.. Nape hajamaliza lakini akina dada wanaanza kukimbilia kwenye mabasi.. Wanawahi nafaci..
wa watanzania.