only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,342
- 2,528
Maghembe anatoa namba za simu ili wananchi watoe taarifa juu ya wizi wa maji..
Bora yeye katoa mwenyewe, akipewa vidonge vyake asilalamike.
Maghembe anatoa namba za simu ili wananchi watoe taarifa juu ya wizi wa maji..
Chadema tuliwapuuza tukadhani ni watoto.. Wakikua wataacha.. Sasa sasa nitakula nao sahani moja.. Wakiweka mguu mahali na mie ninakuja hapo.. Chadema wana akili za jogoo.. Wanataka kujilinganisha na ccm.
Chadema wanabaguana sana.. Chacha wangwe yuko wapi..? Unataka uendelee utaendelea vpi wakati unawatafuna wattoto wako..? Shonza na mtela kwa kuwa wanatoka mbeya na sio kilimanjaro umewaponza..
Mkuu hii cimu yangu inasumbua kurusha picha lakini nimeshapiga picha kibao hapa.. Labda mods kama wanaweza kunisaidia..
Chadema ni chama cha ukanda na kidini.. Iliundwa tume.. Katika wakuregenzi wanane.. Wanne wametoka kilimanjaro.. Minutes zimo humu (ameshika kijitabu)..
Chadema wanabaguana sana.. Chacha wangwe yuko wapi..? Unataka uendelee utaendelea vpi wakati unawatafuna wattoto wako..? Shonza na mtela kwa kuwa wanatoka mbeya na sio kilimanjaro umewaponza..
Mkutano umeisha.. Ninatuma picha kwa mail hii support@jamiiforums.com..
Ha ha ha.. Nape hajamaliza lakini akina dada wanaanza kukimbilia kwenye mabasi.. Wanawahi nafaci..
Mkuu hii cimu yangu inasumbua kurusha picha lakini nimeshapiga picha kibao hapa.. Labda mods kama wanaweza kunisaidia..
Wanasema sasa hivi Chadema wakiweka mkutano na wao wiki inayofuatia wao (ccm) wanakuja kufuta wanachodai matuci na kebehi...
Anaingia sasa Madabida (mwenyekiti wa ccm Dar).. Mwenye kashfa ya kuuza arv fake..
Chadema ni chama cha ukanda na kidini.. Iliundwa tume.. Katika wakuregenzi wanane.. Wanne wametoka kilimanjaro.. Minutes zimo humu (ameshika kijitabu)..