CCM na mkutano Temeke mwisho

CCM na mkutano Temeke mwisho

sosoliso

Platinum Member
Joined
May 6, 2009
Posts
8,543
Reaction score
9,480
CCM wanafanya mkutano hapa Temeke mwisho Uwanja ule ule ambao CHADEMA walifanya mkutano last week.

Msemaji mmoja anadai CHADEMA wameshindwa kufanya mkutano Ubungo au Kawe kwa kuwa wangepigwa mawe kisa hakuna walichokifanya majimbo ya huko.

Mgeni wa heshima ni Nape, Naona kuna waziri Maghembe hapa na wabunge wa CCM wa mkoa wa Dar.

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • IMG00508-20130216-1612.jpg
    IMG00508-20130216-1612.jpg
    42.1 KB · Views: 1,983
  • IMG00514-20130216-1751.jpg
    IMG00514-20130216-1751.jpg
    40 KB · Views: 1,966
  • IMG00518-20130216-1807.jpg
    IMG00518-20130216-1807.jpg
    53.2 KB · Views: 168
  • IMG00509-20130216-1629.jpg
    IMG00509-20130216-1629.jpg
    71.5 KB · Views: 1,959
  • IMG00517-20130216-1807.jpg
    IMG00517-20130216-1807.jpg
    61.4 KB · Views: 1,965
  • IMG00519-20130216-1807.jpg
    IMG00519-20130216-1807.jpg
    21 KB · Views: 1,905
Ccm wanafanya mkutano hapa temeke mwisho.. Uwanja ule ule ambao Cdm walifanya mkutano last week..
Msemaji mmoja anadai chadema wameshindwa kufanya mkutano ubungo au kawe kwa kuwa wangepigwa mawe.. Kisa hakuna walichokifanya majimbo ya huko..

wao wamefanya nini kwani?
 
..Wanasema ccm haijafanya kitu.. Wamepita kwenye barabara gani..
 
Mkutano ni wa ccm lakini chadema inatajwa.. 10 kwa 1..
 
ccm wana serikali chadema ndio anajindaa kuchukua dola ni haibu kwa chama kilichopo madarakani.kufanya kila wanachoona cdm imefanya na wao wanaiga yaani wamekabwa kweli kweli.ndio matokeo ya kulala usingizi na kukumbuka kujifunika wakati wa hasubui.hofu ya nini kuitisha mkutano tena palepale cdm walipofanya.ushauri wangu kwa ccm mikutano haisaidii watanzania.tunataka maendeleo hatutaki hadithi hadithi.
 
Najivunia kuwa CHADEMA, chama makini kwa watu makini. CCM hawalali kila kwenye mikutano yao badala ya kueleza watafanya nini kwa wananchi wanaizungumzia CHADEMA, sasa hivi kuna uchochezi wa kidini badala ya wao kutoa matamko ya amani, wao wanaiponda CHADEMA, wengine wanataka kuzunguka nchi nzima kuongea kuhusu CHADEMA. Chama gani kinachopendwa kuliko CHADEMA? kimekaaa kwenye mioyo ya watanzania.

Peopleeeeeeees
 
Wanasema sasa hivi Chadema wakiweka mkutano na wao wiki inayofuatia wao (ccm) wanakuja kufuta wanachodai matuci na kebehi...

Anaingia sasa Madabida (mwenyekiti wa ccm Dar).. Mwenye kashfa ya kuuza arv fake..
 
Sijui kama kuna sehemu Tanzania itafanya mkutano wananchi wakawakatalia si ubungo wala kokote? Iwaje ujinga wao upewe chadema . Matatizo ya nchi nzima ni ya CCM wa si chadema. Kwa ujinga wao na kutofikiri wanazidi kukipa chadema Umaarufu. Sijui kama ccm wanaakili nzuri
 
Wajiandae kufuata nyuma hadi wachoke, kama kila cdm wanapofanya mkutano wakitoka nao wanaingia kukanusha basi kazi wanayo, ila wajue wananchi wameisha wachoka wanasubiri 2015 wawandoe madarakani.
 
Wanasema sasa hivi Chadema wakiweka mkutano na wao wiki inayofuatia wao (ccm) wanakuja kufuta wanachodai matuci na kebehi...

Anaingia sasa Madabida (mwenyekiti wa ccm Dar).. Mwenye kashfa ya kuuza arv fake..
Huyo si yule kada aliyekumbwa na Kashfa ya sukari?
 
.....wanaamini kwamba kufanya mikutano sehemu wanazopita wapinzani ni katika kujibu mapigo
 
Ccm wanafanya mkutano hapa temeke mwisho.. Uwanja ule ule ambao Cdm walifanya mkutano last week..
Msemaji mmoja anadai chadema wameshindwa kufanya mkutano ubungo au kawe kwa kuwa wangepigwa mawe.. Kisa hakuna walichokifanya majimbo ya huko..
Mgeni wa heshima ni Nape.. Naona kuna waziri Maghembe hapa.. Na Wabunge wa ccm wa mkoa wa Dar...


...creche uwanjani watupie na midori ...
 
Ccm wanafanya mkutano hapa temeke mwisho.. Uwanja ule ule ambao Cdm walifanya mkutano last week..
Msemaji mmoja anadai chadema wameshindwa kufanya mkutano ubungo au kawe kwa kuwa wangepigwa mawe.. Kisa hakuna walichokifanya majimbo ya huko..
Mgeni wa heshima ni Nape.. Naona kuna waziri Maghembe hapa.. Na Wabunge wa ccm wa mkoa wa Dar...

Hoja yako ni nyepesi sana, ati waliogopa kufanyia Ubungo na Kawe kwa kuwa hawajafanya chochote. Hivi hii CCM imekaa 50+ years. Nini imefanya?
 
Idadi ya watu pls, na zana za kubebea watu ni ngapi kwa leo?
 
Tofauti na mkutano uliopita.. Huu tumekaa kwenye viti hapa tunamcikiliza mzee wa Arv..
 
..Kuna kijana mmoja nikimtaja hapa ntampa sifa.. Ni kijibunge cha ubungo kinajidai ati kwake wamepandisha bajeti ya barabara..
 
Back
Top Bottom