CCM na mkutano Temeke mwisho

CCM na mkutano Temeke mwisho

Nape amempandisha jukwaani Juliana shonza hapa..
 
Anaongea Shonza sasa.. Ameshakabidhi tunguli (kadi) kwa kikwete..
 
Chama cha ccm ni chama cha sera.. Chadema ni chama cha uchochezi..
 
Sikutegemea kama CCM wange pungukiwa na akili nafikr wanatafuta kujisafisha,
 
Ajenda ya chadema wanataka kushika dola lakini ci kuleta maendeleo.. Wanawadanganya wananchi kwa maandamano.. Mmeshawahi kucikia maandamano yamefanyika hai (kwa mwenyekiti wa Cdm) yamefanyka maandamano..?
 
Chadema ni chama cha kiharakati.. Katibu mkuu amekigeuza chama kama saccos.. Ndo maana anajikopesha halafu anatudanganya milion 20 wakati alijikopesha milion 140.
 
Namtumia salamu Mnyika.. 2015 jimbo la Ubungo tunalirudisha ccm..
 
Najua hapo watajibu hoja za CHADEMA za juzi.
 
ccm badala kuchapa kazi tuzione, wao wanapita kutusimulia kazi walizofanya utadhani sisi hatuna macho, mbaya zaidi ni kuwa uzinduzi wa shughuli bajeti yake huwa kubwa sana kiasi kwamba hilo lingetosha kuwa tangazo kwetu kuwa mradi wenu huoooo. lakini waaaaapi, akili zao zimekaa kifisadi zaidiiiii.
 
Namtumia salamu Mnyika.. 2015 jimbo la Ubungo tunalirudisha ccm..

Huyu mwanamke ni kimeo kweli. Yani wana ubungo ni mafala kwa kiwango hicho mpaka wawape CCM jimbo? Yani pale Ubungo CHADEMA wakisimamisha mbwa atapita.
 
Sasa anapandishwa mwampamba (cijui kama jina nimelipatia) .. Anarudisha magandwa na bendera ya cahdema..
 
Nilikuwa mgombea wa ubunge na nilipata kura 32000..
 
Chadema ni chama cha mungu mtu.. Kamati kuu ina wajumbe 14.. Mwenyekiti anateua nusu.. Mnyika anadanganya amemaliza form six tu.. Hajaenda chuo kikuu.. Dr Slaa ni fisadi.. Amefisadi mradi wa karatu...
 
Mapokeo ya wananchi yakoje kamanda uliopo LIVE....

Nipo njian nakuja huko kuona move hiliii.
 
Wanasema sasa hivi Chadema wakiweka mkutano na wao wiki inayofuatia wao (ccm) wanakuja kufuta wanachodai matuci na kebehi...

Anaingia sasa Madabida (mwenyekiti wa ccm Dar).. Mwenye kashfa ya kuuza arv fake..

Usisahau juzi wamekamatwa na kitu kingine kilichoisha muda wa matumizi , walitaka kufanya Magumashi mengine ! Shame on you Madabida !
 
Back
Top Bottom