utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Weka picha kiongozi
ilikuwa nyomi
Weka picha kiongozi
Nyomi itoke wapi..?Nimetuma picha nashangaa hawajaweka mpaka sasa.. Au mwenye bbm au vper au whtsapp naweza kumtumia picha.. Just pm me..
...........................Hekaya za AbunuasiNamtumia salamu Mnyika.. 2015 jimbo la Ubungo tunalirudisha ccm..
........................................hoja yake nyepesi yan watu wengine bwana mdogosasa nape anaposema chadema ni ya kaskazini akienda arusha na moshi atawambiaje?mwampamba kwanini unaeneza sumu ya ukabila?haujui kumbukumbu zitakuanika?kama umeondoka chadema...sema tu ni kwa sababu ya sera mbovu zao kama ni kweli,na upo ccm sbb umeridhika na sera zao!haya ya udini na ukabila yaacheni jamani
ccm wana serikali chadema ndio anajindaa kuchukua dola ni haibu kwa chama kilichopo madarakani.kufanya kila wanachoona cdm imefanya na wao wanaiga yaani wamekabwa kweli kweli.ndio matokeo ya kulala usingizi na kukumbuka kujifunika wakati wa hasubui.hofu ya nini kuitisha mkutano tena palepale cdm walipofanya.ushauri wangu kwa ccm mikutano haisaidii watanzania.tunataka maendeleo hatutaki hadithi hadithi.
.....................Saa kumi jioni.Watu tumechoka hadithi za ccm kbs.Hizi picha ni saa ngapi? 3 asubuhi?
Nyomi itoke wapi..?Nimetuma picha nashangaa hawajaweka mpaka sasa.. Au mwenye bbm au vper au whtsapp naweza kumtumia picha.. Just pm me..
Sasa Nape anaposema Chadema ni ya Kaskazini akienda Arusha na Moshi atawambiaje?Mwampamba kwanini unaeneza sumu ya ukabila?haujui kumbukumbu zitakuanika?kama umeondoka Chadema...sema tu ni kwa sababu ya sera mbovu zao kama ni kweli,na upo CCM sbb umeridhika na sera zao!haya ya udini na ukabila yaacheni jamani