CCM na mkutano Temeke mwisho

CCM na mkutano Temeke mwisho

Chadema ni chama cha ukanda na kidini.. Iliundwa tume.. Katika wakuregenzi wanane.. Wanne wametoka kilimanjaro.. Minutes zimo humu (ameshika kijitabu)..
 
Chadema wanapiga kelele safari za mama Salma kuzunguka mikoani wakati mchumba wa Slaa anazunguka na analazimisha kupokewa na anafanya kampeni ili awe mwenyekiti wa Bawicha..
 
Wanasema nchi icitawalike.. Mbowe ana danguro lake pale posta.. Angefanya hii biashara..?
 
Chadema ni chama cha ukanda na kidini.. Iliundwa tume.. Katika wakuregenzi wanane.. Wanne wametoka kilimanjaro.. Minutes zimo humu (ameshika kijitabu)..

Kumbe hii singo bado inauza? Nilifikiri imekufa siku nyingi zilizopita kumbe bado......Mwenyekiti wa hiyo tume alikuwa nani? Itatusaidia wengine kungamua
 
Hivi huko CCM hakuna protokali? Yaani mwenyekiti wa mkoa anamaliza ndipo wanaigia wanachama ambao ndio kwanza wapo kwenye mafunzo ya kukijua chama ? Ndio maana inakufa aisee.....
 
Watateseka sana mwaka huu,ukiiga speed ya chadema utakufa
 
Kapandishwa mwanamke mmoja.. Anadai kanyanyaswa.. Anadai alikuwa ps pale makao makuu chadema.. Amefanya kazi miaka 9.. Saum kizena anaitwa... Anadai kafukuzwa.. Kanyimwa ruzuku.. Kazalisha wabunge wote na kutoka ruzuku milioni tano mpka milioni 200 na ushee.. Anadai chama kinajifanya kinatetea wanyonge..
 
Hapo hakuna hoja, badala ya kueleza ilani ya chama chao wamewafanyia nini watanzania, wao wamekusanya wahuni kwenda kuongea pumba, yalikuwepo yakapita na hata haya hayatadumu kamwe.
 
ccm badala kuchapa kazi tuzione, wao wanapita kutusimulia kazi walizofanya utadhani sisi hatuna macho, mbaya zaidi ni kuwa uzinduzi wa shughuli bajeti yake huwa kubwa sana kiasi kwamba hilo lingetosha kuwa tangazo kwetu kuwa mradi wenu huoooo. lakini waaaaapi, akili zao zimekaa kifisadi zaidiiiii.
 
Chadema wanapiga kelele safari za mama Salma kuzunguka mikoani wakati mchumba wa Slaa anazunguka na analazimisha kupokewa na anafanya kampeni ili awe mwenyekiti wa Bawicha..

Bawicha!!!!
 
Anaongea naibu meya wa kinondoni.. Anadai waliteleza wakatoa majimbo mawili ya kinondoni.. Wanapata sana sasa.. Anawaambia temeke wacifanye makosa..
 
Chadema wanapiga kelele safari za mama Salma kuzunguka mikoani wakati mchumba wa Slaa anazunguka na analazimisha kupokewa na anafanya kampeni ili awe mwenyekiti wa Bawicha..

kwa maana ya ujumbe huu wanaiga ya chadema! au nimekosea kunukuu.
 
Mtela Mwampamba ndie ninaemuonea huruma, Juliana atakua chakula ya wakubwa, ataendelea kuishi, MM atakua chakula ya waheshimiwa? watatumika halafu watatelekezwa mapemaaaaa
 
Kapandishwa mwanamke mmoja.. Anadai kanyanyaswa.. Anadai alikuwa ps pale makao makuu chadema.. Amefanya kazi miaka 9.. Saum kizena anaitwa... Anadai kafukuzwa.. Kanyimwa ruzuku.. Kazalisha wabunge wote na kutoka ruzuku milioni tano mpka milioni 200 na ushee.. Anadai chama kinajifanya kinatetea wanyonge..

Amesema ni kwanini alifukuzwa kazi? Maana hilo litatusaidia kujua kama alionewa ama laa, sasa CCM wameishiwa kweli yaani hata Ps anapandishwa jukwaani ........Mangula hii ndio ile CCM yetu kweli .....ama ni ya akina Nnape....
 
Ha ha.. Nape kampandisha mkuu wa mkoa.. Anasema kidumu chama cha mapinduzi..
 
Kapandishwa mwanamke mmoja.. Anadai kanyanyaswa.. Anadai alikuwa ps pale makao makuu chadema.. Amefanya kazi miaka 9.. Saum kizena anaitwa... Anadai kafukuzwa.. Kanyimwa ruzuku.. Kazalisha wabunge wote na kutoka ruzuku milioni tano mpka milioni 200 na ushee.. Anadai chama kinajifanya kinatetea wanyonge..

huyu si ni yule personal secratry wa dokta ambaye CCM walitaka kumtumia kumuua Dokta Slaa, Slaa naye akatonywa na wana usalama wa taifa. chadema wakaamua kumwachisha kazi na kumpa marupurupu yake.
 
Back
Top Bottom