CCM na mkutano Temeke mwisho

CCM na mkutano Temeke mwisho

kwa maana nyingine wao ratiba yao inategemea ratiba ya CDM? kweli akili ndogo inaongoza akili kubwa!

Yap Mkuu KOMBAJR.. Yaani wao kazi yao ni kupita walipopita Chadema na kuwaelezea udini na ukabila wa Chadema badala ya kuwaelezea wananchi ni kwanini mpaka leo bado maji hayapatikani.. Nikuambie kitu Mkuu.. Ujinga walioufanya Jumamoci kwenye mkutano wao pale umewakacirisha sana wananchi.. Jumapili ijayo tunategemea kuzindua matawi ya Chadema kama kumi hivi pale maeneo ya temeke mwisho.. Nadhani hili litakuwa ni jawabu tosha kabisa kwa Nape & Co..
 
Akili iliyofikia Menopause ni hatari sana, Kwani wenye uwezo wa kupiga picha na kuziweka hapa ni Pro-CDM peke yao?...Nilitegemea ninyi vijana wa Nape na Lameck ndo mngekuwa wa kwanza kutuwekea picha za kutuonyesha umati wa watu waliohudhuria mikutano yenu mkuu...au ma-lorry haya kupewa mafuta?...

Mkuu RockSpider unajua ukweli una sifa moja kuu.. nayo ni kuumiza au kuchoma.. Jamaa ukweli unamchoma sana.. Hana budi kujifariji.. Ila aangalie picha kwa makini.. Acipende kubishana na ukweli..
 
Mkuu RockSpider unajua ukweli una sifa moja kuu.. nayo ni kuumiza au kuchoma.. Jamaa ukweli unamchoma sana.. Hana budi kujifariji.. Ila aangalie picha kwa makini.. Acipende kubishana na ukweli..

Kama wangekuwa na angalau ka-akili kidogo ya kufikiria wasingeendekeza Style waliokuja nayo eti "CDM wakichomoa Mguu tu CCM nao wanaweka!!! ...inaelekea CCM wanapenda shombo, ngoja liendelee kuwanukia...
 
..kuna kijana mmoja nikimtaja hapa ntampa sifa.. Ni kijibunge cha ubungo kinajidai ati kwake wamepandisha bajeti ya barabara..
hahahaha sifa aliyompa ndo inastahili!
Kijibunge kisumbuacho!
 
Back
Top Bottom