Maghembe anaanza kwa kusema serikali ina miradi sita.. Ndani ya kipindi kifupi.. Kuanzia 2014 - 2030.. Tatizo la maji litaisha.. Mradi mkubwa ulitengenezwa wakati wabunge wote wa ccm.. Anamnukuu Zungu "kuchekelea mimba mtoto ccm".. Mradi utafunguliwa ruvu na Kikwete..
Mkutano ni wa ccm lakini chadema inatajwa.. 10 kwa 1..
Maghembe anatoa namba za simu ili wananchi watoe taarifa juu ya wizi wa maji..
Idadi ya watu pls, na zana za kubebea watu ni ngapi kwa leo?
Chadema wamefanana na Nguruwe.. Wakiwa na njaa wanakula watoto wao..
Chadema wamefanana na Nguruwe.. Wakiwa na njaa wanakula watoto wao..
Mkuu sosoliso tunataka kujua idadi ya watu waliohudhuria ukilinganisha na mkutano wa Chadema
Mkuu Molemo viti vya kukalia vya plastic havijajaa.. Ule uwanja kama ulikuja hapa.. Umepangwa viti nusu uwanja na viko wazi.. Nashindwa kutuma pictures kwa kuwa cimu yangu inasumbua.. Ila ninazo humu..
Chadema tuliwapuuza tukadhani ni watoto.. Wakikua wataacha.. Sasa sasa nitakula nao sahani moja.. Wakiweka mguu mahali na mie ninakuja hapo.. Chadema wana akili za jogoo.. Wanataka kujilinganisha na ccm.