CCM na mkutano Temeke mwisho

CCM na mkutano Temeke mwisho

huyu si ni yule personal secratry wa dokta ambaye CCM walitaka kumtumia kumuua Dokta Slaa, Slaa naye akatonywa na wana usalama wa taifa. chadema wakaamua kumwachisha kazi na kumpa marupurupu yake.

Nahisi ndo atakuwa huyo Mkuu..
 
Mkuu wa mkoa anasema barabara toka kwa aziz ally mpaka kwa sokota imepandishwa hadhi na imekabidhiwa kwa Tanroads..
 
ccm wana serikali chadema ndio anajindaa kuchukua dola ni haibu kwa chama kilichopo madarakani.kufanya kila wanachoona cdm imefanya na wao wanaiga yaani wamekabwa kweli kweli.ndio matokeo ya kulala usingizi na kukumbuka kujifunika wakati wa hasubui.hofu ya nini kuitisha mkutano tena palepale cdm walipofanya.ushauri wangu kwa ccm mikutano haisaidii watanzania.tunataka maendeleo hatutaki hadithi hadithi.

ccm ndo chama cha upinzani kwa sasa
 
Hivi kweli ccem bado wanafikili wanaweza tena kudanganya watu kupitia mikutano,ama kweli nyani hajui kundule kama wameanza kuleta na ma ps karibu watatuletea na wazibua vyoo kwamba wamedhurumiwa, ccem kwishaaa!
 
Anamalizia kwa wana Temeke.. Tutunze amani.. Kuna wenzetu wanapenda kufanya fujo.. Kuandamana.. Kuanzia sasa tutawakamata hao waliowatuma watu waandamane..
 
Nape kampandisha Mbunge wa Ilala bw. Zungu ili kuzisemea kanuni za bunge..
 
Zungu anadai walifanya ziara mwezi wa 10 wakiwa na Mnyika na Mdee kwenye miradi ya maji.. Wao (chadema) wanachekelea mimba wakati mtoto ni wa Chadema..
 
Duuh.. Anapandishwa mbunge wetu wa Temeke Mtemvu..
 
Zungu anadai walifanya ziara mwezi wa 10 wakiwa na Mnyika na Mdee kwenye miradi ya maji.. Wao (chadema) wanachekelea mimba wakati mtoto ni wa Chadema..

Anasahau kuwa maneno kama hayo tangu Lusinde ayatamke Arumeru mpaka leo kapotea kwenye siasa moja kwa moja sijui kanyimwa kuzungumza ama nini kimemkuta huyu jamaa , .....
 
Anasema tuna bilion 45 za mcc kwa ajili ya kutengeneza barabara za temeke..
 
Mtela Mwampamba ndie ninaemuonea huruma, Juliana atakua chakula ya wakubwa, ataendelea kuishi, MM atakua chakula ya waheshimiwa? watatumika halafu watatelekezwa mapemaaaaa

Kama kakubali kutumika hivyo wakitaka tiGO atagoma!?? wote watakuwa chakla cha wazee
 
Mtela Mwampamba ndie ninaemuonea huruma, Juliana atakua chakula ya wakubwa, ataendelea kuishi, MM atakua chakula ya waheshimiwa? watatumika halafu watatelekezwa mapemaaaaa

Kuna mabwana huko,naye ataji-Elton
 
Nape anasema walichonga sana kuhusu kamati kuu.. Tumeunda kamati na wamekosa la kusema.. Amempandisha mmoja wa wajumbe mpya wa kamati kuu bw. Jerry Slaa..
 
ccm wana serikali chadema ndio anajindaa kuchukua dola ni haibu kwa chama kilichopo madarakani.kufanya kila wanachoona cdm imefanya na wao wanaiga yaani wamekabwa kweli kweli.ndio matokeo ya kulala usingizi na kukumbuka kujifunika wakati wa hasubui.hofu ya nini kuitisha mkutano tena palepale cdm walipofanya.ushauri wangu kwa ccm mikutano haisaidii watanzania.tunataka maendeleo hatutaki hadithi hadithi.

Dola ipi Chadema wanayojianda kuichukua? ImageUploadedByJamiiForums1361025447.513229.jpg
 
Wapi Mingoi na kati ya magamba...!??
 
Last edited by a moderator:
Sasa Nape anampandisha Waziri wa maji.. Professor Maghembe..
 
Nape anasema walichonga sana kuhusu kamati kuu.. Tumeunda kamati na wamekosa la kusema.. Amempandisha mmoja wa wajumbe mpya wa kamati kuu bw. Jerry Slaa..

Usim promote huyo mrembo, ni Jerry sIlaa
 
Maghembe anaanza kwa kusema serikali ina miradi sita.. Ndani ya kipindi kifupi.. Kuanzia 2014 - 2030.. Tatizo la maji litaisha.. Mradi mkubwa ulitengenezwa wakati wabunge wote wa ccm.. Anamnukuu Zungu "kuchekelea mimba mtoto ccm".. Mradi utafunguliwa ruvu na Kikwete..
 
Nape anasema walichonga sana kuhusu kamati kuu.. Tumeunda kamati na wamekosa la kusema.. Amempandisha mmoja wa wajumbe mpya wa kamati kuu bw. Jerry Slaa..

Kumbe siku hizi CCM inatekeleza baada ya kuamrishwa na Chadema , kuwa hata kuunda kamati kuu ni mpaka Chadema waseme ? Kweli wanakufa
 
Back
Top Bottom