seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Members sina mengi ,Watu wenye jinsia zaidi ya moja wanahitaji haki zao ,Video chini ni Dada anayeomba msaada haelewi ana jinsia gani ya kike au kiume
Transgender ni changamoto mpya hapa Tanzania sasa
Serikali acheni mambo ya ubaguzi kutambua jinsia mbili tu yaani Male and Female
Sasa iwe Male, Female na Transgender
Transgender ni changamoto mpya hapa Tanzania sasa
Serikali acheni mambo ya ubaguzi kutambua jinsia mbili tu yaani Male and Female
Sasa iwe Male, Female na Transgender