Ofisi za ubalozi nchini Japani zaunga mkono mapenzi ya jinsia moja na kuruhusu watu kufukuana vifusi

HERY HERNHO

Member
Mar 4, 2022
70
313
Wanadiplomasia kutoka ofisi za ubalozi zaidi ya 12 wanaowakilisha nchi zao huko Japani wameonyesha kuunga mkono jamii ya watu wanaopendelea mapenzi ya jinsia moja ama wanaopenda kifukana nyuma wakiongozwa na USA na mabadiliko ya jinsia wanaojulikana kwa jina la ‘LGBTQ’, kabla ya mkutano wa viongozi wakuu wa kundi la nchi saba zilizoendelea zaidi kiviwanda duniani, G7, unaotarajiwa kuanza juma lijalo.

Balozi wa Marekani nchini Japani, Rahm Emanuel, jana Ijumaa alituma video kupitia ukurasa wake wa Twitter ikiwa na jumbe kutoka ofisi 15 za ubalozi zilizopo Jijini Tokyo.

Wanadiplomasia kutoka Ujerumani, Canada na Umoja wa Ulaya pia walishiriki na kuunga mkono mashoga na wasagaji na wafuasi wote wa usa

Emanuel alisema, “Kwa heshima dhidi ya ubaguzi. Kwa uhuru dhidi ya vikwazo. Na kwa usawa dhidi ya kukosa uvumilivu.”

Balozi Emanuel alitoa wito pia kwa serikali ya Japani kuchukua hatua akisema, “Wakati ni sasa wa kuhakikisha kila mtu anaonekana, kila mtu anasikilizwa, na kila mtu anajumuishwa. Na kila mtu anatifuliwa husuan wale wa magharibi

Wabunge wa Japani wanapanga kuwasilisha muswada usiofungamana na upande wowote wenye lengo la kukuza uelewa kuhusu jamii ya watu ya LGBTQ kabla ya kuanza kwa mkutano wa viongozi wakuu wa kundi la nchi saba zilizoendelea zaidi kiviwanda duniani, G7, utakaoanza May 19 mjini Hiroshima
 
Wanadiplomasia kutoka ofisi za ubalozi zaidi ya 12 wanaowakilisha nchi zao huko Japani wameonyesha kuunga mkono jamii ya watu wanaopendelea mapenzi ya jinsia moja ama wanaopenda kifukana nyuma wakiongozwa na USA na mabadiliko ya jinsia wanaojulikana kwa jina la ‘LGBTQ’, kabla ya mkutano wa viongozi wakuu wa kundi la nchi saba zilizoendelea zaidi kiviwanda duniani, G7, unaotarajiwa kuanza juma lijalo.

Balozi wa Marekani nchini Japani, Rahm Emanuel, jana Ijumaa alituma video kupitia ukurasa wake wa Twitter ikiwa na jumbe kutoka ofisi 15 za ubalozi zilizopo Jijini Tokyo.

Wanadiplomasia kutoka Ujerumani, Canada na Umoja wa Ulaya pia walishiriki na kuunga mkono mashoga na wasagaji na wafuasi wote wa usa

Emanuel alisema, “Kwa heshima dhidi ya ubaguzi. Kwa uhuru dhidi ya vikwazo. Na kwa usawa dhidi ya kukosa uvumilivu.”

Balozi Emanuel alitoa wito pia kwa serikali ya Japani kuchukua hatua akisema, “Wakati ni sasa wa kuhakikisha kila mtu anaonekana, kila mtu anasikilizwa, na kila mtu anajumuishwa. Na kila mtu anatifuliwa husuan wale wa magharibi

Wabunge wa Japani wanapanga kuwasilisha muswada usiofungamana na upande wowote wenye lengo la kukuza uelewa kuhusu jamii ya watu ya LGBTQ kabla ya kuanza kwa mkutano wa viongozi wakuu wa kundi la nchi saba zilizoendelea zaidi kiviwanda duniani, G7, utakaoanza May 19 mjini Hiroshima
Balozi wa Marekani anaitwa RAHIM Emanuel

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wanadiplomasia kutoka ofisi za ubalozi zaidi ya 12 wanaowakilisha nchi zao huko Japani wameonyesha kuunga mkono jamii ya watu wanaopendelea mapenzi ya jinsia moja ama wanaopenda kifukana nyuma wakiongozwa na USA na mabadiliko ya jinsia wanaojulikana kwa jina la ‘LGBTQ’, kabla ya mkutano wa viongozi wakuu wa kundi la nchi saba zilizoendelea zaidi kiviwanda duniani, G7, unaotarajiwa kuanza juma lijalo.

Balozi wa Marekani nchini Japani, Rahm Emanuel, jana Ijumaa alituma video kupitia ukurasa wake wa Twitter ikiwa na jumbe kutoka ofisi 15 za ubalozi zilizopo Jijini Tokyo.

Wanadiplomasia kutoka Ujerumani, Canada na Umoja wa Ulaya pia walishiriki na kuunga mkono mashoga na wasagaji na wafuasi wote wa usa

Emanuel alisema, “Kwa heshima dhidi ya ubaguzi. Kwa uhuru dhidi ya vikwazo. Na kwa usawa dhidi ya kukosa uvumilivu.”

Balozi Emanuel alitoa wito pia kwa serikali ya Japani kuchukua hatua akisema, “Wakati ni sasa wa kuhakikisha kila mtu anaonekana, kila mtu anasikilizwa, na kila mtu anajumuishwa. Na kila mtu anatifuliwa husuan wale wa magharibi

Wabunge wa Japani wanapanga kuwasilisha muswada usiofungamana na upande wowote wenye lengo la kukuza uelewa kuhusu jamii ya watu ya LGBTQ kabla ya kuanza kwa mkutano wa viongozi wakuu wa kundi la nchi saba zilizoendelea zaidi kiviwanda duniani, G7, utakaoanza May 19 mjini Hiroshima
Hivi ngono Kwa njia ya mdomo sio kinyume na maumbile?
 
Lgbtq ni movement ya watu wenye affiliation tofauti za kwenye sex na kungonoka,wanataka waishi kwa uhuru na amani bila kubaguliwa wala kubughuziwa,let them be free kwa kile walichokichagua,
 
Lgbtq ni movement ya watu wenye affiliation tofauti za kwenye sex na kungonoka,wanataka waishi kwa uhuru na amani bila kubaguliwa wala kubughuziwa,let them be free kwa kile walichokichagua,

wacha wawe free huko kwao, kwanini wanatulazimisha na sisi?
 
Back
Top Bottom