Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,557
- 3,001
Habari!
Kila ninapojaribu kuangalia ilani ya chama na vipaumbele vya CCM (2020-25),nakuwa hopeless kabisa inaonekana behaviour approach is most likely katika chama hiki kikongwe nikipendacho kuliko preferences ambazo zilikuwa manifested kipindi cha uchaguzi ambapo RAIS MAGUFULi(party manifesto) iliamini katika kujitegemea kunaletwa na ujenzi.
Bora miundombinu ambayo yataleta mapinduzi katika viwanda na usafirishaji lakini kwa upande wa awamu ya 6 ambayo bado ipo katika term ya awamu ya 5 imejizatiti katika ubinafsishaji (uwekezaji) ambapo naona sio jambo sahihi kwa taifa changa.
Nawasilisha CCM MSITUCHANGANYE.
Kila ninapojaribu kuangalia ilani ya chama na vipaumbele vya CCM (2020-25),nakuwa hopeless kabisa inaonekana behaviour approach is most likely katika chama hiki kikongwe nikipendacho kuliko preferences ambazo zilikuwa manifested kipindi cha uchaguzi ambapo RAIS MAGUFULi(party manifesto) iliamini katika kujitegemea kunaletwa na ujenzi.
Bora miundombinu ambayo yataleta mapinduzi katika viwanda na usafirishaji lakini kwa upande wa awamu ya 6 ambayo bado ipo katika term ya awamu ya 5 imejizatiti katika ubinafsishaji (uwekezaji) ambapo naona sio jambo sahihi kwa taifa changa.
Nawasilisha CCM MSITUCHANGANYE.