sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,634
- 11,693
We utakuwa unakanyagwa.Wameipenda hiyo lifestyle wewe shida yako nini?
We utakuwa unakanyagwa.Wameipenda hiyo lifestyle wewe shida yako nini?
Ulichojibu hakina tofauti na ulichoandika! poleWe utakuwa unakanyagwa.
Nakuomba pitia post zako fanya research ujue wanao unga mkono (like) kila uandikacho kasha kesho nitakuja na swali unijibu baada ya utafiti huo uone ni kwa nini hali ni hiyo.Kweli kama matumizi ya ruzuku za chama zaidi ya mill 300 + laki tano tano za wabunge wakati ofisi ni kiosk cha mbowe..
Masuala ya kutweza utu wa wabunge wa kike unaofanywa na mwenyekiti..
We post na ulike ukipendacho..sio lazima mawazo wako na yangu au wanaolike post zangu yafanane na yako..hili ni jukwaa huru..kufungana midomo mwisho ufipa na bahari beach hotel.Nakuomba pitia post zako fanya research ujue wanao unga mkono (like) kila uandikacho kasha kesho nitakuja na swali unijibu baada ya utafiti huo uone ni kwa nini hali ni hiyo.
Ha ha ulisema nakaa nywagwa wewe wakaa wapi vile😀😀We post na ulike ukipendacho..sio lazima mawazo wako na yangu au wanaolike post zangu yafanane na yako..hili ni jukwaa huru..kufungana midomo mwisho ufipa na bahari beach hotel.
Wanasema ukitaka kumjua mtu wajue rafiki zake. Hivyohivyo ukitaka kujua upuuzi wa hoja ya mtu angalia wapuuzi wangapi imewavuta Nawe wawajua wapuuzi wa JF. Jee kwa nini wanavutiwa sana na hoja zako? because its in their line of thinking!We post na ulike ukipendacho..sio lazima mawazo wako na yangu au wanaolike post zangu yafanane na yako..hili ni jukwaa huru..kufungana midomo mwisho ufipa na bahari beach hotel.
Unaitia najisi jf..nimejaribu kuangalia kumbukumbu ya wewe kujiunga humu inaonyesha ni mkongwe..nilidhani ni mgeni nikusaidie..lakini inaonekana jf haijakusaidia kitu katika kukuza upeo wako wa kuchambua na kuchanganua..pengine sababu ubongo wako umewakabidhi wanasiasa..Wanasema ukitaka kumjua mtu wajue rafiki zake. Hivyohivyo ukitaka kujua upuuzi wa hoja ya mtu angalia wapuuzi wangapi imewavuta Nawe wawajua wapuuzi wa JF. Jee kwa nini wanavutiwa sana na hoja zako? because its in their line of thinking!
Hapa nimekusifia sana sheiza maana upuuzi siku hizi ni sifa kwa vile kuna watu wananyazifa nzito kabisa nchi hii lakini wanafanya upuuzi wa hadharani na wanasifiwa.
kumbe kuna watu wanakula mkwanjaKila siku mnatengeneza "movies" za kijinga na kufanya mambo ya hovyo sana kiasi kwamba mnawapa shida watetezi wenu wa mitandaoni. Kila jambo mnaboronga, mnadhani hao mliowaweka mitandaoni wawatetee nao ndiyo hawana hisia za utu kabisa?
Yaani mnadhani kusema uongo na kutetea ujinga unaoonekana shayiri dhahiri kwamba ni ujinga ni kazi rahisi? Mnadhani wao hawajui kwamba wanatetea mambo ya hovyo yanayodhuru taifa lao na vizazi vyao vijavyo?
Au mnadhani kwa kuwa "wanalipwa" basi watakuwa ni watumwa wa kusema yasiyowezekana na kuaminika kila siku? Hata kama wanatumia majina bandia lakini mjue na wao wanaujua ukweli hata kama wanaupindisha, siku ukweli ukizidi kina cha uwezo wao wa kuupindisha mjue watatapika hata yale msiyoyafikiria kwamba wanaweza kuyasema.
OLE WENU CCM!
Utaelewa tuu siku moja kama wengine walivyo elewa.Unaitia najisi jf..nimejaribu kuangalia kumbukumbu ya wewe kujiunga humu inaonyesha ni mkongwe..nilidhani ni mgeni nikusaidie..lakini inaonekana jf haijakusaidia kitu katika kukuza upeo wako wa kuchambua na kuchanganua..pengine sababu ubongo wako umewakabidhi wanasiasa..
Kupishana hoja na wengine haiwezi kukufanya wewe uwaite wengine wapuuzi..huo wenyewe unaofanya ni upuuzi na unadhihirisha ulivyokuwa mpuuzi
Unajichanganya sana allen..unaonekana mgeni wa siasa..habari za kulipwa una ushahidi nazo??
Then ccm inajichanganya kwa lipi sasa..hebu fafanua ili ujibiwe..
Kaisaidie chadema wanataka kuuwana huko ndugu kisa madaraka
Kwani hiyoruzuku wanayopewa chadema ni kodi ya mbowe?? Mbowe mwenyewe kwanza halipi kodi..anakula tu jasho la wanyonge
Nilifikiri uliposema Allen anajichanganya kwa kuleta mada kijuu juu nilihisi we we ni mpita njia.Kwa maneno yako haya kumbe we we ni mwenye nyumba.Mungu awe nawe Ila haki hubaki kusimama mbele yake daimaKweli kama matumizi ya ruzuku za chama zaidi ya mill 300 + laki tano tano za wabunge wakati ofisi ni kiosk cha mbowe..
Masuala ya kutweza utu wa wabunge wa kike unaofanywa na mwenyekiti..
Afadhal umeondolewaDakika chache zilizopita tumeshuhudia upuuzi wao wanavyowatesa watetesi wao mitandaoni!!
Yaani hawa jamaa siku hizi wanalala usiku wanaota majinamizi wanafukuzwa na nyoka aina ya Koboko!!Afadhal umeondolewa
MATAGAKila siku mnatengeneza "movies" za kijinga na kufanya mambo ya hovyo sana kiasi kwamba mnawapa shida watetezi wenu wa mitandaoni. Kila jambo mnaboronga, mnadhani hao mliowaweka mitandaoni wawatetee nao ndiyo hawana hisia za utu kabisa?
Yaani mnadhani kusema uongo na kutetea ujinga unaoonekana shayiri dhahiri kwamba ni ujinga ni kazi rahisi? Mnadhani wao hawajui kwamba wanatetea mambo ya hovyo yanayodhuru taifa lao na vizazi vyao vijavyo?
Au mnadhani kwa kuwa "wanalipwa" basi watakuwa ni watumwa wa kusema yasiyowezekana na kuaminika kila siku? Hata kama wanatumia majina bandia lakini mjue na wao wanaujua ukweli hata kama wanaupindisha, siku ukweli ukizidi kina cha uwezo wao wa kuupindisha mjue watatapika hata yale msiyoyafikiria kwamba wanaweza kuyasema.
OLE WENU CCM!
Kulipwa sio jambo jepesi mlipaji nae anataka kuona kazi yake inafanyika ilivyopangwa.
Awamu hii kwakweli watetezi wa CCM mitandaoni wanapata tabu sana.
Kuna wengine wameamua kuwa na ID mbilimbili,wanakosoa huku na kusifia katika zile tulizozoea. Yani wanang'ata na kupuliza.