CCM mnawatesa watetezi wenu wa mitandaoni!

CCM mnawatesa watetezi wenu wa mitandaoni!

Yaani wanahangaika mpaka huruma ,wanabidi wajitoe ufahamu kutetea uongo inashindikana yanabaki walahi walahi sijui yanamuapia mungu wao wa kichawi mwenge .
 
Kuna habari 300 us sijui imeletwa kwaajili ya Lissu !
 
Kuna habari 300 us sijui imeletwa kwaajili ya Lissu !
Yaani imeletwa kwa ajili hiyo hiyo. Ila watu wakaishukia kama mwewe hadi mleta uzushi mwenyewe akaikana habari yake akaishia kusema ameileta kama alivyoichukua "mahali". Hatujajua huko "mahali" ni Lumumba ama ni wapi?
 
Yaani imeletwa kwa ajili hiyo hiyo. Ila watu wakaishukia kama mwewe hadi mleta uzushi mwenyewe akaikana habari yake akaishia kusema ameileta kama alivyoichukua "mahali". Hatujajua huko "mahali" ni Lumumba ama ni wapi?


Haaaaa haaaaa
 
Hata kama umesoma sana ukiingia CCM tu unakuwa mwehu unajitoa fahamu zote kwenye Ubongo na kubakiza kamasi debe mbili na Moshi wa Bangi, CCM ni shiiida sana
 
Kila siku mnatengeneza "movies" za kijinga na kufanya mambo ya hovyo sana kiasi kwamba mnawapa shida watetezi wenu wa mitandaoni. Kila jambo mnaboronga, mnadhani hao mliowaweka mitandaoni wawatetee nao ndiyo hawana hisia za utu kabisa?

Yaani mnadhani kusema uongo na kutetea ujinga unaoonekana shayiri dhahiri kwamba ni ujinga ni kazi rahisi? Mnadhani wao hawajui kwamba wanatetea mambo ya hovyo yanayodhuru taifa lao na vizazi vyao vijavyo?

Au mnadhani kwa kuwa "wanalipwa" basi watakuwa ni watumwa wa kusema yasiyowezekana na kuaminika kila siku? Hata kama wanatumia majina bandia lakini mjue na wao wanaujua ukweli hata kama wanaupindisha, siku ukweli ukizidi kina cha uwezo wao wa kuupindisha mjue watatapika hata yale msiyoyafikiria kwamba wanaweza kuyasema.

OLE WENU CCM!
Waliofeli shule wakapewa kazi. Inamaana kuanzia mafunzo then rehearsal to excution wamefeli. Huwezi kuwatetea hata unye mavi hadharani. Akili nzuri huwa inaanzia darasani then inakuja kwenye utendaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama umesoma sana ukiingia CCM tu unakuwa mwehu unajitoa fahamu zote kwenye Ubongo na kubakiza kamasi debe mbili na Moshi wa Bangi, CCM ni shiiida sana
Kama kabudi alivyosainshwa mkataba wa koroSHOW na machalii wa nairobery
 
Kila siku mnatengeneza "movies" za kijinga na kufanya mambo ya hovyo sana kiasi kwamba mnawapa shida watetezi wenu wa mitandaoni. Kila jambo mnaboronga, mnadhani hao mliowaweka mitandaoni wawatetee nao ndiyo hawana hisia za utu kabisa?

Yaani mnadhani kusema uongo na kutetea ujinga unaoonekana shayiri dhahiri kwamba ni ujinga ni kazi rahisi? Mnadhani wao hawajui kwamba wanatetea mambo ya hovyo yanayodhuru taifa lao na vizazi vyao vijavyo?

Au mnadhani kwa kuwa "wanalipwa" basi watakuwa ni watumwa wa kusema yasiyowezekana na kuaminika kila siku? Hata kama wanatumia majina bandia lakini mjue na wao wanaujua ukweli hata kama wanaupindisha, siku ukweli ukizidi kina cha uwezo wao wa kuupindisha mjue watatapika hata yale msiyoyafikiria kwamba wanaweza kuyasema.

OLE WENU CCM!
Si wanalipwa ? Acha kazi I we ngumu ku justify malipo yao . mfano kwenye suala la CAG hata hayajui yasimamie wapi
 
Kila siku mnatengeneza "movies" za kijinga na kufanya mambo ya hovyo sana kiasi kwamba mnawapa shida watetezi wenu wa mitandaoni. Kila jambo mnaboronga, mnadhani hao mliowaweka mitandaoni wawatetee nao ndiyo hawana hisia za utu kabisa?

Yaani mnadhani kusema uongo na kutetea ujinga unaoonekana shayiri dhahiri kwamba ni ujinga ni kazi rahisi? Mnadhani wao hawajui kwamba wanatetea mambo ya hovyo yanayodhuru taifa lao na vizazi vyao vijavyo?

Au mnadhani kwa kuwa "wanalipwa" basi watakuwa ni watumwa wa kusema yasiyowezekana na kuaminika kila siku? Hata kama wanatumia majina bandia lakini mjue na wao wanaujua ukweli hata kama wanaupindisha, siku ukweli ukizidi kina cha uwezo wao wa kuupindisha mjue watatapika hata yale msiyoyafikiria kwamba wanaweza kuyasema.

OLE WENU CCM!
Another crap from unknown mchonganishi!

Nyoosha stori acha kuzunguka mbuyu bila kutuelewesha ulicholenga!
 
Usitumie wingi katika kujieleza. Kama hujaelewa ni wewe tu. Hoja na Kichwa cha bandiko vinawiana.
Siasa za upinzani zimeshikwa na wala chips kama wewe wenye laana ya mafuta ya transfoma,na wavaa milegezo na mawigi ambao wana shinda wakirudisha suruali mahala pake na wenye mawigi mikono inachoka kwa kukuna kichwa.

Everytime humu ndani ni kutafuta vi kauli chonganishi tu,
Je nini way forward kwa maoni yenu?
Au kuweka hotuba kwapani na kusepa nje ya mjengo?

Wapiga kura waliwatuma kuja kufanya myafanyayo au kuwasemea bungeni?

#Tunasimama na magufuli 2025[emoji1241][emoji818][emoji724]
 
Back
Top Bottom