Watetezi wa CCM mitandaoni wanapata sana tabu na hizi episodes!
Nakumbuka jana wakati picha ya gari inaachiwa na Sirro,watu tulisema sio picha ya CCTV!Basi bhana,
YEHODAYA akapanic!Akasema hizo CCTV nyingine ni za low quality ndio maana huwa hazioneshi vizuri!!!!!Hahahahaa,Tukamweleza kuwa,hata angle ya picha iko chini wakati kikawaida CCTV huwa inawekwa kwa juu ambapo mtu hawezi kufikia bila kuweka ngazi au stand!Basi huyo huyo
YEHODAYA akaja kujibu hoja hii,akasema "CCTV unaweza funga popote,hata ukitaka ikuchukue tako ni uamuzi waki"
Hhahaaaaa,Sirro alivyokuja kusema leo kuwa Picha hiyo haikupigwa kwenye hotel alipotekwa,nikacheka nikikumbuka ndugu yangu
YEHODAYA alivyokuwa akihangaika!!!!!
Kweli wanapata tabu!