CCM mnawatesa watetezi wenu wa mitandaoni!

CCM mnawatesa watetezi wenu wa mitandaoni!

Lipo kundi Fulani humu lenyewe maujinga haya wanayotetea utaona kabisa wanatetea kuitikia wito wa kazi maana huwa wanaonyesha kabisa wanachoka.
Lakini lipo lingine ambalo (nitawataja baadae) wao nikama walking dead people aka maiti zitembeazo,wao bora liende tuu. Hao utawahurumia maana ni zile akili za Livingstone au yule wa Ulanga aliyepata nafasi kwa fadhila ya kumkumbuka mama
 
Una hakika ni CCM au ni kikundi cha watu ndani ya CCM?

Hao CCM wenyewe siku hizi wamebaki kuvaa fulana tu kuhudhuria shughulini.
 
Wengine tunaijua zaidi TANU kuliko CCM . Enzi za Binadamu wote ni Sawa....
 
Unajichanganya sana allen..unaonekana mgeni wa siasa..habari za kulipwa una ushahidi nazo??
Then ccm inajichanganya kwa lipi sasa..hebu fafanua ili ujibiwe..
Inajichanganya kwa picha za rangi za cctv, kuacha silaha ndani ya gari na kusema "walitaka kulichoma gari wakashindwa"
 
Back
Top Bottom