Hapana kaka. Mbona hiyo ilikuwepo tangu graph yake ya umaarufu inapanda. Tatizo ni ile ishu nyingine...
Kwanza nawasalimu ndugu zangu wote humu JF! Mwenzenu huwa mzimu wa REDET na tafiti zake unaniandama kila nisikiapo neno utafiti.Kuna viji taasisi vinaibuka na kushika kasi kila tunapoelekea kwenye uchaguzi nchini.Unaweza kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa au uchaguzi mkuu ambapo vitaasisi hivyo hujifanya kutoa tathmini za kisiasa bila kuainisha 'objectives of the study,population size,area of study e.t.c) Kama hutakuwa makini unaweza kuaminishwa ujinga nawe ukapoteza muda kujadili kitu ambacho hakipo ukiacha mambo muhimu kuhusu gesi,uranium,kushuka kwa kiwango cha elimu,migogoro ya ardhi,katiba mpya,vitambulisho vya taifa,vazi la taifa,kilimo na teknolojia eti tunajadili CCM kimekuwa maarufu. Nahoji,kati ya chama cha zamani na vyama vipya kipi kinaweza kupanda kuwa maarufu? Utafiti wa Synovate ulilenga nini,wametumia vigezo gani kupima umaarufu na wamewahoji watanzania wangapi? Nielewesheni!
Ya kujikopesha ruzuku ya chama?
Swadatah. Watu wengi walidhani Babu kasingiziwa, ila alivyojitoa muhanga live kuwa ni mil. 20 tu, watu wamepoteza imani naye kabisa!!!
Sasa hivi wananchi wanahoji jengo lilipangishwa na chadema Kinondoni ni la nani na linalipiwa sh. ngapi kwa mwezi...
Ya kujikopesha ruzuku ya chama?
Hawa ni watafiti njaa tu.Mwaka 2010 walisema CCM ingeshinda kwa 80%.Hawa ni wa kupuuzwa tu
Kwanza nawasalimu ndugu zangu wote humu JF! Mwenzenu huwa mzimu wa REDET na tafiti zake unaniandama kila nisikiapo neno utafiti.Kuna viji taasisi vinaibuka na kushika kasi kila tunapoelekea kwenye uchaguzi nchini.Unaweza kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa au uchaguzi mkuu ambapo vitaasisi hivyo hujifanya kutoa tathmini za kisiasa bila kuainisha 'objectives of the study,population size,area of study e.t.c) Kama hutakuwa makini unaweza kuaminishwa ujinga nawe ukapoteza muda kujadili kitu ambacho hakipo ukiacha mambo muhimu kuhusu gesi,uranium,kushuka kwa kiwango cha elimu,migogoro ya ardhi,katiba mpya,vitambulisho vya taifa,vazi la taifa,kilimo na teknolojia eti tunajadili CCM kimekuwa maarufu. Nahoji,kati ya chama cha zamani na vyama vipya kipi kinaweza kupanda kuwa maarufu? Utafiti wa Synovate ulilenga nini,wametumia vigezo gani kupima umaarufu na wamewahoji watanzania wangapi? Nielewesheni!
Jengo ni mali ya CHADEMA,wananchi wanahitaji kujua hatma ya rasilimali za Taifa,ambazo ccm wanazifisadi,endeleeni kujipa moyo kuwa ccm inakubalika,anguko la ccm li dhahiri
Jengo ni mali ya CHADEMA,wananchi wanahitaji kujua hatma ya rasilimali za Taifa,ambazo ccm wanazifisadi,endeleeni kujipa moyo kuwa ccm inakubalika,anguko la ccm li dhahiri
Kitu cha muhimu katika research ni methodology na sio methods, waweza kuwa na methods and data nzuri lakini bado ukashindwa ku-draw/generalise warrantable inference.
Molemo. Umenena mkuu,nadhani hawa watu wanatafuta ulaji.Ni vema kwa taifa kuwa na taasisi za utafiti wa kisiasa ambazo ni huru kabisa.CCM ni maarufu siku zote ila siyo imara kama 2000-2010.Labda ndugu zetu wana tafsiri nyingine ya umaarufu.Lakini pia najiuliza,CCM kimekuwa maarufu kwenye nyanja gani na kivipi?
issue ya msingi ni Babu kugeuza mke wa mtu na kuwa kimada wake nyie hapa JF mbinu mnayotumia yakuwa na account 30 30 si ndio mnavyojidanganya....ngoma uraiani raia wamesanda ariff