Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,676
- 26,140
Kivipi?Jitafakali
Kivipi?Jitafakali
Ni kweli mali ya umma na watu wote wanaruhusiwa kusafiri kwa bei hiyohyo aliosema polepole, lakini kumbuka ilani inayotekelezwa na iliyokubaliwa na wapiga kura ni ya CCM, na unamjua polepole ni nani katika CCM, nadhani ushanielewa sihitaji kuendelea.Wana jamvi heshima kwenu, nimeamua kuwauliza ili mnieleweshe hili jambo wanalo fanya ccm.
Meli ya Mv Victoria ni mali ya umma wa watanzania bila kujali itikadi ya kisiasa lkn kwa hali ilivyo leo hii tunaona jinsi wana ccm wakiongozwa na Pole pole kuipangia hiyo meli bei za kuasafirisha bidhaa.
Pole pole analipangia shirika la meli bei za kufanyia kazi kama nani ndani ya serikali ya Tanzania?
Tafadhali tunaombeni ufafanuzi kutoka kwa watu wenye uelewa juu ya hili.
MV BUKOBA ilishazama miaka mingi iliyopitaWana jamvi heshima kwenu, nimeamua kuwauliza ili mnieleweshe hili jambo wanalo fanya ccm.
Meli ya Mv Victoria ni mali ya umma wa watanzania bila kujali itikadi ya kisiasa lkn kwa hali ilivyo leo hii tunaona jinsi wana ccm wakiongozwa na Pole pole kuipangia hiyo meli bei za kuasafirisha bidhaa.
Pole pole analipangia shirika la meli bei za kufanyia kazi kama nani ndani ya serikali ya Tanzania?
Tafadhali tunaombeni ufafanuzi kutoka kwa watu wenye uelewa juu ya hili.
ni kweli ameagiza tani moja ya ndizi kutoka bukoba kuja mwanza ilipiwe sh 27000 kwa kila mtanzania kuna tatizo hapo ndugu? shida ni moja tu mleta mada na wenzake wameishiwa hoja kwahiyo hata wakiaandika hawatafakari tena wanafyatuka tu.Uzi wako haujaeleweka! Polepole amepanga bei kivipi, lini na kiasi gani amepanga?
Uwe unasoma na michango ya wenzio! Huko ni zaidi ya kukurupuka!MV BUKOBA ilishazama miaka mingi iliyopita
punguzeni kukurupukaNi mv Victoria, ilikuwa ni typing error
bei ndo imeshapangwa kama umechukia kanywe KONYAGI.Ccm hamna mandate ya kupanga bei kwenye vyombo vinavyo milikuwa na umma wa watanzania, pole pole ni nani hadi awe msemaji wa mv Victoria?
Mv New Victoria - Hapa kazi tu.Nadhani meli inayozungumziwa sio MV Bukoba ni MV Viktoria - Hapa Kazi Tu!
Ni kweli mali ya umma na watu wote wanaruhusiwa kusafiri kwa bei hiyohyo aliosema polepole, lakini kumbuka ilani inayotekelezwa na iliyokubaliwa na wapiga kura ni ya CCM, na unamjua polepole ni nani katika CCM, nadhani ushanielewa sihitaji kuendelea.
umeshaelewa tusichoshaneHata ukiendelea hakuna mtu anakukataza kuendelea maana hili ni jukwaa huru kutoa mawazo yako
ni kweli ameagiza tani moja ya ndizi kutoka bukoba kuja mwanza ilipiwe sh 27000 kwa kila mtanzania kuna tatizo hapo ndugu? shida ni moja tu mleta mada na wenzake wameishiwa hoja kwahiyo hata wakiaandika hawatafakari tena wanafyatuka tu.
wala sina wivu ila nashangaa tulizoea kipindi cha dr.slaa kupata hoja makini na fikirishi lakini siku hizi duuuuuh, sijui mnalamba bapa kubwa ndo mnaandika?Unaona wivu? Maana kwenu ndiyo chuo cha kukurupuka
hapana naheshimu sana kiwanda cha konyagi kwa kulipa kodi na kutoa ajira kwa watanzania lakini kubwa zaidi kuzalisha kinywaji pendwa cha mwamba.Konyagi ni mojawapo ya viwanda ambavyo vinawaingiza kodi, au unawatukana na kuwakashifu wanao kunywa konyagi?
Nani akufanyie marekebisho wewe nyumbu wa ufipa,mods acheni hivyo hivyo msirekebishe.Ni Mv Victoria samahani, naomba mods walifanyie marekebisho tafadhali