Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,654
- 22,250
Imenunuliwa na CCM ndiyo maana wanapanga nauli na kusafiri bure, utawala wa sheria weka pembeni.Wana jamvi heshima kwenu, nimeamua kuwauliza ili mnieleweshe hili jambo wanalo fanya ccm.
Meli ya Mv Victoria ni mali ya umma wa Watanzania bila kujali itikadi ya kisiasa lkn kwa hali ilivyo leo hii tunaona jinsi wana ccm wakiongozwa na Pole pole kuipangia hiyo meli bei za kuasafirisha bidhaa.
Pole pole analipangia shirika la meli bei za kufanyia kazi kama nani ndani ya serikali ya Tanzania?
Tafadhali tunaombeni ufafanuzi kutoka kwa watu wenye uelewa juu ya hili.