RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 4,029
- 7,775
Ni kweli tutashinda lakini wengine hatujui tutashinda na mwenyekiti yupi na makam mwenyekiti atakua yupi!!
Kama Mzee wassira aytaendelea kutoonekana ,inamaana makam mwenyekiti mpya atahitajika mapema!!
Mawazo meengi Sana kichwani!
Kama Mzee wassira aytaendelea kutoonekana ,inamaana makam mwenyekiti mpya atahitajika mapema!!
Mawazo meengi Sana kichwani!