CCM kushinda uchaguzi Mkuu kwa 98%

CCM kushinda uchaguzi Mkuu kwa 98%

UWANJA WA MKAPA TU U.EWASHINDA BILIONI 32 IMELIWA TANGU 2023.

KMMKE KABISA
 
1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
Mtashinda kwa 100% na mavumbini atawahishwa vizuri sana akafurahie matendo yake aliyoyafanya kipindi akiwa enzini
 

Kwa wasiojua ilani iliyotekelezwa aliyoongelea mtoa mada na huo uongozi thabiti ndio huu.
 
wacha nijichekee ...............

Alafu wale wanaohama CDM wanategemea kupata eti 5% ya kura wakati wenye tume yao wanasema watachinda kwa 98%
Wanamuona lisu mjinga
 
Back
Top Bottom