Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,528
- 1,823
uchaguzi gani
HakikaNi kweli mkuu!!
Mimi nahisi itashinda kwa asilimia 99.99%!1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
Watangazwe kuwa wamepata 100% kabisa.1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
uko sahihi 100% gentleman 💪👊1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
Mtashinda kwa 100% na mavumbini atawahishwa vizuri sana akafurahie matendo yake aliyoyafanya kipindi akiwa enzini1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
Sasa mna hangaika na upinzani kwa nini kama mna uhakika wa 98% ?1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
Asilimia si hoja.Hata wakiwa wawili tu waliopiga kura nao wanahesabika ni 100%1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
AsanteAsilimia si hoja.Hata wakiwa wawili tu waliopiga kura nao wanahesabika ni 100%
Acha ujinga watashinda uchakachuaji si uchaguzi. Hawana sifa wala sera bali uchawa na uzwazwa. May they perish!1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
Itakuwa utaahira mkubwa sana hata kwa mwana CCM kupoteza muda wake kwenda kupiga kura wakati tayari wagombea wote wa CCM watatangazwa kushinda kwa 99%.1. Ilani imetekelezwa kwa 100%,
2. Uongozi thabiti,
3. Amani imetawala.
Ndiyo ilani ya CCM hii
Na ndicho walicho nacho tayariItakuwa utaahira mkubwa sana hata kwa mwana CCM kupoteza muda wake kwenda kupiga kura wakati tayari wagombea wote wa CCM watatangazwa kushinda kwa 99%.
Wanamuona lisu mjingawacha nijichekee ...............
Alafu wale wanaohama CDM wanategemea kupata eti 5% ya kura wakati wenye tume yao wanasema watachinda kwa 98%