CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

Hahahahahahaha lol! hahahahahahah zumbemkuu na saudari njooni mcheke huku....hahahahahahah lol! leo wamenyimwa buku 7 wanatokwa povu kweli kweli hata wanachoongea hakiingii akilini hahahahahahah lol!


Leo Chadema wataiona Arusha kama motoni watu wamechoka kuwa mateka wa Lema.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

maskini JULIANA WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE UNAJUTA KUHAMA CHADEMA SASA AIBU INAKUANGAKIA WEWE NA FAMILIA YAKO SIJUI UAJIFICHA CHINI YA MTI OH JULLY
ANYWAY BWANA AMETOA CHADEMA WAMECHUKUA BADO UNAKARIBISHWA KURUDI AIJALISHI UMETUMIWA NA NANI HUKO
 
alioteshwa hivyo,bahati mbaya mganga wake ni lukuvi.

kwetu mganga ni hawara tusaidi
hawara yake ama??loh buriani julliana si unyamaze tu kwenye chaguzi kama hizi unaiabisha famili sasa jamani
 
shonza aliniahidi kuwa arusha ikishinda ananipa......., sasa ajitokeze aniachie changu mie

ogopa ukimwi mkuu unajua alihamishiwa ccm na nani loh..nenda pale sinza africasana yakikuzidi kama unashida na bei nikupatie kwa mwaka wa fedha 2013
 
kumbe tume ya uchaguzi inaweza kufanya chaguzi za haki,kumbe polisi wanaweza kutekeleza wajibu wao bila ya kuipendelea ccm,july pole sana watanzania wa leo sio wa enzi hizo,propaganda aina tena nafasi
 
maskini JULIANA WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE UNAJUTA KUHAMA CHADEMA SASA AIBU INAKUANGAKIA WEWE NA FAMILIA YAKO SIJUI UAJIFICHA CHINI YA MTI OH JULLY
ANYWAY BWANA AMETOA CHADEMA WAMECHUKUA BADO UNAKARIBISHWA KURUDI AIJALISHI UMETUMIWA NA NANI HUKO
Juliana ananikumbusha mashati ya juliana....


na asipoangalua, ataishia kuvaa juliana ndani ya ccm
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Haya tupatie updates mama, maana naona umekua kisiasa kiasi kwamba unaweza kuzungumzia siasa a ARUSHA!! Najua unaganga dada na wewe upate chochote kitu, lakini bahati mbaya sana umeingia CCM wakati ndiyo inaaga dunia, ungeingia miaka ya tisini kweli sasa hivi ungeshasonga sana, bahati mbaya una mwaka mmoja tu na hautakuwa na matumizi tena, utakuwa used kila kitu...namaanisha utakuwa umeshatumika hasaa, maana hawa jamaa wanajua kutumia..baada ya hapo utaachwa solember huku chama kikiteketea wanajikita kwenye kujibinafsishia mali a chama wewe hauna chako, MUULIzE MEE MALICELA!
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.
Unajisikiaje utabiri wako unapogeuka UWONGO...???
 
Kaimbe na walanguzi wa madawa na majangili huko na manguo yenu ya kijani....Arusha HATUDANGANYIKI!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
It hurts even more that UDSM today has products of Julianas caliber. A disgrace to our esteemed learning Institution.

Umeuaaaaaaaaa!
Hizi shahada ambazo tulikuwa tunaita ni za 'nguo za ndani' zinawakilishwa na watu kama huyu mleta thread.
 
Haya sasa!?
Nayahifadhi maneno ambayo unastahili kuambiwa, hapa itakuwa si busara.
 
Juliana, hebu rudi tena hapa utueleze hizo ndoto zako za mchana!!!! Hongera kwa CCM kushinda Arusha.

Tiba
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Unanikumbusha haka kawimbo....

Juulieeee...eeee...nikupe nini uridhike,
Julie....Chakukupa siinaa, julie...unihurumiieee...mamaaaaa x2
Ufukara nilionaooeee mamaaaaa...
Ufukara umekuwa kashfa kwa mapenzi yaanguu...kwaakoo kwaakoo eeee...

 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Hakika tumeona namna CCM ilivyoibuka kidedea.
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Dada habari za asubuhi? Naomba unijibu salam hii ili kuondoa mashaka kuwa hujapoteza uhai kwa pressure. Hii ndo arusha! Peoplesssssssssssssssssssssssssssss! Malizia tafadhali.
 
Back
Top Bottom