MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 710
Sikuisoma post yako hii na wala sihitaji kuisoma kwa kuwa najua fika kwamba Juliana Shonza una tabia sugu ya kuota ndoto za Alinacha mchana pamoja na kuwa na maruweruwe yasiyoeleweka.
Hebu nenda Mirembe, Dodoma, jipeleke mwenyewe, kabla hujajiumiza zaidi na ikashindikana kabisa kukurejesha kwenye mstari, kwani iko hatari utachanganyikiwa na kuanza kuokota makopo njiani muda si mrefu, japokuwa kuokota makopo siku hizi ni dili, wewe wala hutajua pa kuyapeleka. Usiwape shida ndugu zako; nenda Mirembe!
Umesikia wewe zuzu?
Hebu nenda Mirembe, Dodoma, jipeleke mwenyewe, kabla hujajiumiza zaidi na ikashindikana kabisa kukurejesha kwenye mstari, kwani iko hatari utachanganyikiwa na kuanza kuokota makopo njiani muda si mrefu, japokuwa kuokota makopo siku hizi ni dili, wewe wala hutajua pa kuyapeleka. Usiwape shida ndugu zako; nenda Mirembe!
Umesikia wewe zuzu?
Last edited by a moderator: