CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Mlidhani Singida!!!!
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Huo ushindi mnaosheherekea leo ni upi? wa kuua watu bila hatia kwa kutumia polisiccm?
 
ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini arusha kwa maana ya kata ya erelai, kimandolu, themi na kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa ccm inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(ccm)na chama maslahi binafsi(chadema)

viva ccm,umoja ni ushindi.

hapo kwenye red hakunaga neno kama hilo kwa kiswahili
 
kumbe nyie ndio mateka wa CCM
ningekuwa wewe Rits leo ndio ungekuwa mwisho wangu kutumika mitandaoni kwa faida ya wengine
Leo Chadema wataiona Arusha kama motoni watu wamechoka kuwa mateka wa Lema.
 
Hivi haka kadada kameondoka na gaidi lake au kamebaki Arusha.
Hawa ndiyo wasomi wetu, wasomi wasiojua upepo unaelekea wapi kwa wakati husika, wakijitahidi kuubadilishia uelekeo bila mafanikio.
 
Baada ya uchaguzi urudi utueleze matokeo. Naomba usijifiche, manake nahisi huu uzi lazima utakuwa umekula cha juu. Haiwezekani kuja na huu uzi kama hujapanga matokeo. Nakuhakikishia, ni heri ungebaki pale CHADEMA bila cheo chochote kuliko huko ulipo. Inasikitisha sana dadangu, kuwa mlafi wa madaraka na udogo wako, tena madaraka unayataka ukiwa CCM. Tulishaambiwa CCM ina wenyewe, na wenyewe wanajijua A-Z, ninyi ndo mmefanwa wapiga debe. Wenye chama wametulia mithili ya Mnyapara anaewachunga wafungwa wasitoroke. Julliana please take my words, as time goes your popularity will decrease drastically na watakutazama wakijua wazi kuwa hukujua CCM ina wenyewe...
 
hapo kwenye red hakunaga neno kama hilo kwa kiswahili

Unakumbuka nilikuambia unatumika kama mpira wa kiume?? Mmeshinda kata ngapi wewe kibaraka wa siasa,
A town imekufanya uone siku zako kabla ya muda, jumanne tuko manispaa kumngoa meya
 
...honereni sana kwa ushindi mnono.unajua timing ya kuingiza buk 7 ...
 
Leo mmekoma kiherehere, na hii itakuwa nchi nzima mpaka mbaki mnalia hovyo. Endeleeni chuki zenu kwetu mnatuwekea mazingira mazuri ya ushindi mara dufu. VIVA CHADEMA
 
Bila shaka sasa hivi umepata matokeo ya uchaguzi, pia hili ni fundisho

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Masikini dada wa kimandolu, SAVIMBI kamlaghai ushindi kavitumia via vyake vya uzazi weee mwisho wa siku ushindi hakuna.
Hivyo ndivyo itakavyokutokea na wewe, umeshaingia humo huwezi kutoka, hahaha...........
POLENI SANA.
 
Wajameni, haka ka bint kana midomo bomba saana kula mate, hivi nani anamiliki au ana hati miliki ya mzigo huu?
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

Matokeo yamekwishajulikana sasa, Nilikuwahidi jioni tutapata uhakika wa kinachoendelea sasa unasemaje?. Ushindi umepatikana au nawe umekuwa kama nilivyokwambia ndege wafananao huruka pamoja? Je umeumbuka kama mwenzio au we unaafadhali?.

Tukiachana na hayo vipi lakini hali yako? unaendelea vizuri au presha imekupanda? Usiogope kuomba msaada kwani uchaguzi sasa umeisha imebaki kuwahudumia wananchi ukiwemo wewe kwani CDM haibagui wananchi wake.

Hata hivyo nikutakie usiku mwema.
 
Back
Top Bottom