CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

Hivi chadema mlikosa watu wa kuwapa uongozi hadi mkampaga huyu mtu nafasi ya uongozi kwenye chama chenu kabla hamja mtimua? jamani jamani jamani,hata kuandika imekua tabu? hata jipendekeze vipi kwenye chama chetu haupati nafasi yoyote ya uongozi,kwanza wewe ni mamluki wa chadema
Ongea tena wewe kijani
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.


Naibu waziri wa habari anaposema "tunasubili" ni aibu.
 
No siamini katika kuuana, nazungumzia katika muktadha wa the struggling for existence, surviving is only for the fittest, sasa to fit you have to be adaptive kwenye mabadiliko yoyote, vinginevyo huwezi ku fit, usipo fit you just perish.
Paskali
Paskali,
Sijui nini watasema watu wa Norway ukiwaambia kuwa walimuonea Quisling
hakustahili adhabu ya kifo kwani ''he was struggling for existence...''
 
Paskali,
Sijui nini watasema watu wa Norway ukiwaambia kuwa walimuonea Quisling
hakustahili adhabu ya kifo kwani ''he was struggling for existence...''
Hakuna binadamu yoyote anayestahili adhabu ya kifo. It's inhuman, barbaric na Dhambi ya mauti.
Paskali
 
Paskali,
Mtu akiua asiuliwe?
Allah kasema mtu akiua kwa makusudi na yeye auawe.
Nje ya mada. Ndugu yangu Mohamed ningependa kufahamu. Wakati mzee Samitungo anahamia Tanzania toka huko alikotoka, alikuwa muislam au kasilimishwa baada ya kuishi na waswahili!
 
Nje ya mada. Ndugu yangu Mohamed ningependa kufahamu. Wakati mzee Samitungo anahamia Tanzania toka huko alikotoka, alikuwa muislam au kasilimishwa baada ya kuishi na waswahili!
Gagnija,
Wamanyema wameupokea Uislam kutoka kwa Waarabu waliongia Manyema
miaka mingi nyuma.

Umezungumza kuhusu Waswahili.

Wamanyema wao wakijichukulia kama Waswahili na wakijjita, ''Walungwana,''
yaani, ''Waungwana.''

Kwa hiyo babu yangu yeye alikuja Tanganyika baadae sana baada ya Wamanyema
kuingia Tanganyika miaka mingi nyuma.

Muyukwa Samitungo Mwekapopo aliingia Tanganyika akisema Kiswahili na
Muislam.

Yeye alikuja kama askari mamluki wa Wajerumani kuja kupambana na akina Bushiri
bin Harith
na Chief Mkwawa.

Hii ilikuwa mwishoni mwa 1980.
 
Gagnija,
Wamanyema wameupokea Uislam kutoka kwa Waarabu waliongia Manyema
miaka mingi nyuma.

Umezungumza kuhusu Waswahili.

Wamanyema wao wakijichukulia kama Waswahili na wakijjita, ''Walungwana,''
yaani, ''Waungwana.''

Kwa hiyo babu yangu yeye alikuja Tanganyika baadae sana baada ya Wamanyema
kuingia Tanganyika miaka mingi nyuma.

Muyukwa Samitungo Mwekapopo aliingia Tanganyika akisema Kiswahili na
Muislam.

Yeye alikuja kama askari mamluki wa Wajerumani kuja kupambana na akina Bushiri
bin Harith na Chief Mkwawa.

Hii ilikuwa mwishoni mwa 1980.
Bila shaka ulimaanisha 1890. Nashukuru kwa taarifa.
 
Gagnija,
Wamanyema wameupokea Uislam kutoka kwa Waarabu waliongia Manyema
miaka mingi nyuma.

Umezungumza kuhusu Waswahili.

Wamanyema wao wakijichukulia kama Waswahili na wakijjita, ''Walungwana,''
yaani, ''Waungwana.''

Kwa hiyo babu yangu yeye alikuja Tanganyika baadae sana baada ya Wamanyema
kuingia Tanganyika miaka mingi nyuma.

Muyukwa Samitungo Mwekapopo aliingia Tanganyika akisema Kiswahili na
Muislam.

Yeye alikuja kama askari mamluki wa Wajerumani kuja kupambana na akina Bushiri
bin Harith
na Chief Mkwawa.

Hii ilikuwa mwishoni mwa 1980.
hapa ulikuwa umeshazaliwa auuu mzee ndo alikuwa anatongoza??o_O:rolleyes:
 
Back
Top Bottom