CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

Nguvu ya CCM ni ujinga wa wapiga kura na kutumia raslimali zetu vibaya.
 
Kuna uzi unaletwa humu muda si mrefu kwa ajili ya malalamiko,si unajua tena hawa jamaa ni watu wa kutafuta kinga mapema,na leo wamedhibitiwa hawataweza kulipua mabomu yao ili uchaguzi uhairishwe tena.
Wanaojilipua Arusha ni wale waliokataliwa na wananchi.
 
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.

Wana jamvi waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu ,na hofu ni ishara ya woga wa kushindwa,ni wazi chadema wameingiwa na hofu kubwa baada yakuona kuna uwezekano mkubwa wakupoteza kata nne za jiji la Arusha mkoa ambao wamekuwa wakijinasibu kuwa ndiko kiliko kitovu cha chadema.

Hofu hiyo inatokana na kugundua kwamba wananchi wa Arusha wamechoka kuona mkoa wao ukigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano na umwagaji damu kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

Hivyo basi ni wazi sasa chadema wamejichimbia kabuli wenyewe kwakutokujali misingi ya utawala bora inayosema kiongozi ni mali ya wananchi ila mwanachama ni mali ya chama wao wakakiuka misingi hiyo na kuamua kufukuza madiwani wao kwa maslahi ya watu wachache.

Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)

Viva ccm,umoja ni ushindi.

ccm tupa kule. 4-0 ndio mpango mzima
 
shonza aliniahidi kuwa Arusha ikishinda ananipa......., sasa ajitokeze aniachie changu mie
 
Hivi chadema mlikosa watu wa kuwapa uongozi hadi mkampaga huyu mtu nafasi ya uongozi kwenye chama chenu kabla hamja mtimua? jamani jamani jamani,hata kuandika imekua tabu? hata jipendekeze vipi kwenye chama chetu haupati nafasi yoyote ya uongozi,kwanza wewe ni mamluki wa chadema

hahahah kumbe duh!! unakumbuka ile picha alivyojiengemeza kwa desh desh.... jamani njaa mbaya!
 
Tangu asubuhi nilimwonya huyu kimada wa Mwigulu kwamba siasa siyo kazi rahisi kama kufungua zipu lakini kajifanya manju wa ugamba!
 
Last edited by a moderator:
Asubuhi kwenye majira ya asubuhi ulitangaza hapa Jamii forum kwamba CDM wameshindwa vibaya na CCM imepata ushindi wa kishindo.
1.Je ulimaanisha uchaguzi huu wa madiwani Arusha au mwingine?
Kama ni uchaguzi huu uombe radhi wanajamii forum kwa kupotosha.
2.Kama ulivyofukuzwa chadema kwa matokeo haya CCM hawatawabakiza wewe na Nchemba.Utahamia chama gani sasa?
 
Asubuhi kwenye majira ya asubuhi ulitangaza hapa Jamii forum kwamba CDM wameshindwa vibaya na CCM imepata ushindi wa kishindo.
1.Je ulimaanisha uchaguzi huu wa madiwani Arusha au mwingine?
Kama ni uchaguzi huu uombe radhi wanajamii forum kwa kupotosha.
2.Kama ulivyofukuzwa chadema kwa matokeo haya CCM hawatawabakiza wewe na Nchemba.Utahamia chama gani sasa?

Kwakua asubuhi alitudanganya, mi nashauri apigwe life ban.

CC Invisible
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom