Duh ndugu zangu mshaanza kuporomosha matusi tayali.kuweni wavumilivu kipindi hiki japo najua kitaenda kuwa kigumu sana kwenu.
ni kwamba umekimbilia kuandika ili ukamilishe hesabu ya buku 7 au ndio upeo wako ulikofikia? Maana umeandika madudu tu hapo. Ndio maana watoto wetu wanafeli.
DUCE mkuu!"tayali"... Nani kakufundisha kiswahili?!!!
Duh ndugu zangu mshaanza kuporomosha matusi tayali.kuweni wavumilivu kipindi hiki japo najua kitaenda kuwa kigumu sana kwenu.
Duh ndugu zangu mshaanza kuporomosha matusi tayali.kuweni wavumilivu kipindi hiki japo najua kitaenda kuwa kigumu sana kwenu.
Acha kuzalikisha degree yako ya sociology mtu unadegree unasindwa kujua nini maana ya breaking NewsDuh ndugu zangu mshaanza kuporomosha matusi tayali.kuweni wavumilivu kipindi hiki japo najua kitaenda kuwa kigumu sana kwenu.
usikute kuna njia nyingine inayotumika kuhitimu UDSM.?
Tusikimbiane hapa ikifika saa 12 jioniLeo Chadema wataiona Arusha kama motoni watu wamechoka kuwa mateka wa Lema.
Mkuu yupo sahihi,hayo ni baadhi ya maneno mapya tuliyo fundishwa UDSMBadilisha bandiko lako ili liendane na hadhi yako, rekebisha maneno yafuatayo:
Kabuli - Kaburi
Kububili - Kusubiri
Karoreni - Kaloleni