"Yule mtu" shetaniMr Chongolo tungerudia na ubunge pia ili wananchi wakapate wawakilishi wanaowataka kuliko wale wa kusimikwa na "yule mtu"
Check your records!Kama katibu Mkuu tu,
Chadema imesajiliwa kwenye mioyo na roho zetu, tunatoa kwa Moyo kujenga chetu. Kwetu Ni Chadema na Chadema Ni sisiNchi ngumu sana hii bwashee!
Ni kweli, demokrasia ya figisu figisuCCM demokrasia iko juu sana, Ndio maana unaona mambo kama haya,
Wewee kwani akina chongolo wamepatikaje! Je wakati wa jiwe walikuwa wapi!? Je abdukitembo kindovu yuko wapi?Hongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,
CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,
Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA
miaka 20 lkn kidemokrasia sio kifigisufigisuBora hii kuliko kuwa na mkt mmoja miaka 20.
Hata Katambi na Silinde walisema hivyo hivyo bwashee!Chadema imesajiliwa kwenye mioyo na roho zetu, tunatoa kwa Moyo kujenga chetu. Kwetu Ni Chadema na Chadema Ni sisi
Sasa uchaguzi wa Shina ndo kitu ya kuongelea kweli? Fanyeni hivyo kwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Taifa tuone. Kwa kuanza Rais wa nchi asiwe Mwenyekiti wa chama tawala.Hongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,
CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,
Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA
CDM ndio nini? Achana na CCM ni habari nyingine kabisa
Chama kinamiaka 30 kimeongozwa na ndg wawili tu yaani kijana na mkwewe tu,
Hiyo ndio maana ya zidumu fikra za Mwenyekiti,
MaCCM ya kikujibu nistue mkuu, yalivyo ya hivyo hovyo yanajitekenya na kucheka yenyewe.Mr Chongolo tungerudia na ubunge pia ili wananchi wakapate wawakilishi wanaowataka kuliko wale wa kusimikwa na "yule mtu"