CCM Kimeumana, sasa Ubungo, Babati, Mbeya na Tabora kurudia Uchaguzi

Hongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,

CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,

Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA
Maelezo ya mwanzo yangetosha tuu ila kufananisha na vitu vya maana Duniani huko unakosea watu, umasikini huu miaka 60 ya uhuru bado kusifia ujinga ni kuprove beyond doubt kwamba hatuwazi sawasawa
 
Maelezo ya mwanzo yangetosha tuu ila kufananisha na vitu vya maana Duniani huko unakosea watu, umasikini huu miaka 60 ya uhuru bado kusifia ujinga ni kuprove beyond doubt kwamba hatuwazi sawasawa
VIVA CCM VIVA,
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,

CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,

Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara sana, japo wapo wanaopenda kujidai ni chao. Hakijawahi wala hakitawahi kumilikiwa na mtu hata mmoja. Hata baba wa Taifa hakuwahi kukimiliki seuze watu wengine? Sote tutaenda na kupita tu...Kiduma chama tawala!
 
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara sana, japo wapo wanaopenda kujidai ni chao. Hakijawahi wala hakitawahi kumilikiwa na mtu hata mmoja. Hata baba wa Taifa hakuwahi kukimiliki seuze watu wengine? Sote tutaenda na kupita tu...Kiduma chama tawala!
Nakubaliana na wewe 100%
 

Chongolo: aagiza uchukuaji fomu za uchaguzi ndani ya CCM urudiwe​

chongolo pic

===

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg Daniel Chongolo amewaagiza makatibu wa Wilaya zilizobainika kuwa na kasoro kwenye mchakato wa uchukuaji wa fomu katika uchaguzi ngazi ya shina kurudia uchukuaji huo maramoja,

Aidha, ameyataja baadhi ya maeneo yaliyobainika kuwa na changamoto hiyo kuwa ni pamoja na Wilaya ya Ubungo, Babati, Mbeya, na Tabora,

Katibu mkuu huyo amesema ni lazima haki itendeke ndani ya Chama kwa wanachama wote bila ubaguzi wa aina yeyote,

Maagizo hayo ameyatoa Aprili, 20, 2022 Dar es Salaam alipokuwa kwenye Mkutano wa Halmashauri ya CCM ya Wilaya ya Ubungo na Kinondoni,

Ndg Chongolo amesisitiza kuwa a chama hicho si mali ya mtu binafsi bali cha wanachama wote bila kujali kabila wala rangi zao,

Nawaagiza Makatibu wa wilaya, Ubungo na wilaya zote nchini,

Pamoja na maeneo yote ambayo tumebaini yana changamoto ya watu kunyimwa kuchukua fomu za kugombea ndani ya chama.

"Tunarudisha utoaji wa fomu upya"

CCM tunataka wale wote wenye dhamira ya kuchukua fomu wachukue bila kuwekewa vizuizi,

Ndg Chongolo aliendelea kusisitiza kwa kusema,

Hiki sio chama cha mtu,

Hiki sio chama cha maslahi binafsi,

Hiki chama ni cha wanachama wote,

Amesema huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu ndani ya chama hicho hivyo viongozi wa chama ngazi zote wanapaswa kutimiza majukumu yao kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho,

Crde Chongolo pia amewataka wanachama kuacha ubinafsi na kuchagua nani wa kuwania nafasi ndani ya chama,

Waache kila mwenye nia ashiriki na wanachama wachague wanayempenda kwa uwazi kabisa,

"Dhamana tulizonazo hazijatupa haki ya kufanya uamuzi kwa ubinafsi"

Maeneo ambayo tumegundua yana hiyo changamoto napiga marufuku kuwanyima fomu wanachama.

Kwanza, naagiza fomu ziendelee kutolewa kwa watu wote,

Pili, uchaguzi usitishwe, wanachama wote wenye nia wapate haki ya kuchukua fomu na kugombea," amesema

Wakati huo huo Katibu mkuu huyo amesema chama hicho hakitasita kusitisha uchaguzi huo kwa ngazi zote za chama,

Ndg Chongolo amewaagiza pia Makatibu wa wilaya nchi nzima kuhakikisha katika chaguzi hizo vitumike vitabu vilivyohakikiwa kupiga kura na sio vinginevyo.

Tunafuatilia na tukibaini kuna maeneo ambapo vitabu vilivyokuwa vimehakikiwa vimeongezwa majina ya watu wasiokuwemo kwenye utaratibu wa daftari la wanachama,

Wakurugenzi au Makatibu wa uchaguzi watawajibika, ameeleza kiongozi huyo,
NA TUWAACHE WAFU WAZIKANE WAO KWA WAO
 
Futuhiiii!! Wakishachukua what next!? Na nchi haiko kwenye uchaguzi Hadi 2024/2025!?
 

Chongolo: aagiza uchukuaji fomu za uchaguzi ndani ya CCM urudiwe​

chongolo pic

===

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg Daniel Chongolo amewaagiza makatibu wa Wilaya zilizobainika kuwa na kasoro kwenye mchakato wa uchukuaji wa fomu katika uchaguzi ngazi ya shina kurudia uchukuaji huo maramoja,

Aidha, ameyataja baadhi ya maeneo yaliyobainika kuwa na changamoto hiyo kuwa ni pamoja na Wilaya ya Ubungo, Babati, Mbeya, na Tabora,

Katibu mkuu huyo amesema ni lazima haki itendeke ndani ya Chama kwa wanachama wote bila ubaguzi wa aina yeyote,

Maagizo hayo ameyatoa Aprili, 20, 2022 Dar es Salaam alipokuwa kwenye Mkutano wa Halmashauri ya CCM ya Wilaya ya Ubungo na Kinondoni,

Ndg Chongolo amesisitiza kuwa a chama hicho si mali ya mtu binafsi bali cha wanachama wote bila kujali kabila wala rangi zao,

Nawaagiza Makatibu wa wilaya, Ubungo na wilaya zote nchini,

Pamoja na maeneo yote ambayo tumebaini yana changamoto ya watu kunyimwa kuchukua fomu za kugombea ndani ya chama.

"Tunarudisha utoaji wa fomu upya"

CCM tunataka wale wote wenye dhamira ya kuchukua fomu wachukue bila kuwekewa vizuizi,

Ndg Chongolo aliendelea kusisitiza kwa kusema,

Hiki sio chama cha mtu,

Hiki sio chama cha maslahi binafsi,

Hiki chama ni cha wanachama wote,

Amesema huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu ndani ya chama hicho hivyo viongozi wa chama ngazi zote wanapaswa kutimiza majukumu yao kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho,

Crde Chongolo pia amewataka wanachama kuacha ubinafsi na kuchagua nani wa kuwania nafasi ndani ya chama,

Waache kila mwenye nia ashiriki na wanachama wachague wanayempenda kwa uwazi kabisa,

"Dhamana tulizonazo hazijatupa haki ya kufanya uamuzi kwa ubinafsi"

Maeneo ambayo tumegundua yana hiyo changamoto napiga marufuku kuwanyima fomu wanachama.

Kwanza, naagiza fomu ziendelee kutolewa kwa watu wote,

Pili, uchaguzi usitishwe, wanachama wote wenye nia wapate haki ya kuchukua fomu na kugombea," amesema

Wakati huo huo Katibu mkuu huyo amesema chama hicho hakitasita kusitisha uchaguzi huo kwa ngazi zote za chama,

Ndg Chongolo amewaagiza pia Makatibu wa wilaya nchi nzima kuhakikisha katika chaguzi hizo vitumike vitabu vilivyohakikiwa kupiga kura na sio vinginevyo.

Tunafuatilia na tukibaini kuna maeneo ambapo vitabu vilivyokuwa vimehakikiwa vimeongezwa majina ya watu wasiokuwemo kwenye utaratibu wa daftari la wanachama,

Wakurugenzi au Makatibu wa uchaguzi watawajibika, ameeleza kiongozi huyo,
CCM mmekosa watu wa kuwasemea Vizuri, Lazima mtengeneze dawati la Propaganda haraka,

Hongera mwandishi unaeleweka vizuri
 
Back
Top Bottom