JM K
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 543
Maelezo ya mwanzo yangetosha tuu ila kufananisha na vitu vya maana Duniani huko unakosea watu, umasikini huu miaka 60 ya uhuru bado kusifia ujinga ni kuprove beyond doubt kwamba hatuwazi sawasawaHongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,
CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,
Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA