mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
- Thread starter
- #21
Du eti mleta mda ndo kada mtegemewa wa CCM hebu niambie pamoja na kurekebisha hiki ni nini MNECK?
Kama nikihakikisha wewe ni mchaga kweli mi ntaikana hiyo kabila kwa tambiko kubwa kabisa.Kweli wewe mmaranguoriginal ni kiumbo kipusu!
kijana humjui kamanda mmaranguoriginal wewe sio mwepesi kama unavyodhania.kitu kingine tambua hili ni jukwaa huru na nimeleta posting wewe ulivyo wale wachaga wa huru kisimundu mmezubazubaa tu unafanya personal attack badala ya kujikita kwenye hoja na mapimbi kama ninyi mnafanya chadema ionekane chama cha wachaga.umeshikiwa akili na nani