Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,256
mmaranguoriginal muogope MUNGU kwa uongo wako wewe. Unataka kusema kurudisha mashamba ni kazi ya CCM? Hakika wewe ni mpotoshaji mkubwa sana! Nakushauri wewe na CCM iteni wanahabari mtembelee Meru. Mheshimiwa Joshua Nassari kafanya wakubwa sana pale
Last edited by a moderator: