Maanake usipotelekeza watadeal nawe🤣NB: michango iwasilishwe kabla ya may 20.
Aisee kama lazima 🤣😂
Tena ki ulalo ulalo😆Maanake usipotelekeza watadeal nawe🤣
luka 12🙂hata huku kwetu wanapita kwenye vibanda vya biashara kuomba kuchangiwa,.....CCM 🚮🚮🚮🙌
Wachangiwe na nani wakati wanafuja mabilioni kuhonga wapinzani?Kuchangia kampeni ni vitu vya kawaida kabisa.
Hata Upinzani si unaona kuna tone tone
CHADEMA nao wawapelekee barua makampuni wachangiwe.Kuchangia kampeni ni vitu vya kawaida kabisa.
Hata Upinzani si unaona kuna tone tone
Na CHADEMA ipeleke barua za kuchangisha mchango kwa makampuni ichangiwe.Halafu usipotoa unatekwa
CHADEMA nao wakachangishe kwa matajiri na makampuni badala ya tone tone??Ni kawaida sana.
CHADEMA si haishiriki kwenye uchaguzi, wanataka michango ya nini tena ?🐼Na CHADEMA ipeleke barua za kuchangisha mchango kwa makampuni ichangiwe.
Kwani chama cha siasa ni kwa ajili ya kushiriki uchaguzi tu??CHADEMA si haishiriki kwenye uchaguzi, wanataka michango ya nini tena ?🐼
Matajiri wanajipenda. Usiwaingize kwenye mtego.CHADEMA nao wakachangishe kwa matajiri na makampuni badala ya tone tone??
Wachangie hata kwa siriMatajiri wanajipenda. Usiwaingize kwenye mtego.
"Lengo la chama cha siasa ni kukamata dola"Kwani chama cha siasa ni kwa ajili ya kushiriki uchaguzi tu??
PPT Maendeleo inataka kukamata dola?"Lengo la chama cha siasa ni kukamata dola"
- Wasira
Watatoa wapi pesa?Haya mambo ndo aliyoyakataa JPM Sasa huyo anayechangia kesho akishikwa na madawa ya kulevya atafungwa kweli?