mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 608
Tuliahidi ... tunatekeleza
Pia kuna fanana na ofisi za TANU enzi za harakati za ukombozi na ANC kule Soweto sauziHakina tofauti na makao makuu yetu pale ufipa kamanda.
Ninaongelea makao yetu pale ufipa wewe unaanza oh TANU oh ANC sijui nini, upuuzi mtupu.Pia kuna fanana na ofisi za TANU enzi za harakati za ukombozi na ANC kule Soweto sauzi
mataga hapa tayari umeshapanic 🤣 🤣 🤣Hakina tofauti na makao makuu yetu pale ufipa kamanda.
kwahiyo wanastahili hicho kituo cha mabasi.Kile kijiji cha ikungi bado sana..
ndiyo Ikungi.Ukitoka singida kama unaelekea nzega kuna vituo vidogo vingiiii mara tu ukitoka singida.
Kituo rasmi ni kipi?
Kivipi?mataga hapa tayari umeshapanic 🤣 🤣 🤣
punguza jabza alafu vaa barakoa, pambafu.Kivipi?
UlinIona wapi kuwa sivai barakoa kamanda?punguza jabza alafu vaa barakoa, pambafu.
nyie si mnamfatiza mwenyekiti wenu.UlinIona wapi kuwa sivai barakoa kamanda?
na huyu aliyezindua ni kada kabisaa. napendekeza anyongwe hadi afeTuliahidi ... tunatekelezaView attachment 1686488
Lini utaacha kuchambua karanga?nyie si mnamfatiza mwenyekiti wenu.