Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
baada ya kumaliza kuchambua minyoo iliyojaa kwenye ubongo wako.Lini utaacha kuchambua karanga?
baada ya kumaliza kuchambua minyoo iliyojaa kwenye ubongo wako.Lini utaacha kuchambua karanga?
Mchambuzi wa karanga.baada ya kumaliza kuchambua minyoo iliyojaa kwenye ubongo wako.
CCM ni shetani 🐍 kabisa asiye na aibu yoyote.Wapinzani walikuwa ni kikwazo kikubwa sana cha maendeleo nchii kwa sasa ni kazi tu jengo la stendi ya ikungi la kupumzika abiria limependeza sana, mitano teenaaa
View attachment 1686588
Hongera nyingi na mama kapata n usingizi kabisaaaWapinzani walikuwa ni kikwazo kikubwa sana cha maendeleo nchi kwa sasa ni kazi tu jengo la stendi ya Ikungi la kupumzika abiria limependeza sana, mitano teenaaa
View attachment 1686588
.
Hakika wana ikungi tumepatikana na tutaendelea kumkumbuka mbunge wetu aliyeporwa ubunge wake mh Lissu.
Mitano tenaTuliahidi ... tunatekelezaView attachment 1686488
Miinzi ya kijani ovyo sanaTuliahidi ... tunatekelezaView attachment 1686488
Miinzi ya kijani ovyo sanaView attachment 1686630
KudadadeekiMpiga picha wa Nipashe anatumiwa na mabeberu!! Mbunge amejitahidi Kujenga kituo cha kufa mtu cha abiria!! Mitano tena #Banda_la_kiwango_cha_lami
Hao jamaa nikiwaona natamani niwakimbie maana hawafai kabisaMiinzi ya kijani ovyo sanaView attachment 1686630
Umeonaeeeeee?Kweli Chadema walikuwa wanatucheleweshea maendeleo,mitano tena.View attachment 1686609