CCM, elimu bure iko wapi?

CCM, elimu bure iko wapi?

Michango ipo sana,,tena sana ,,,
kila siku ya MUNGU lazima mtoto umpe 800 shilling wanasema ya kula chakula mchana,,,
Kama mtoto hana pesa za ubwabwa anarudishwa nyumbani,,, hizo ni taarifa toka shule za tanga mjini..

Msambweni sec school iliyopo Tanga mjini,,,,watoto wasiokuwa na 800 za ubwabwa wanarudishwa nyumbani kila siku.
Hivi kweli mtoto akose elimu kisa tamaa za walimu?
Kama ni kwl michango mashuleni hakuna na imefutwa na serikali hii michango ya nn?

hivi mtoto kula mchana ubwabwa wa shule ni lazima?
Kama sio mradi wa walimu ni kitu gani?
Tanga mna mahaba mazuri sn na CCM
 
Yaani upinzani mtanyooka,kama hutaki kuchangia michango kaa naa mtoto wako nyumbani shida iko wapi?

Majuha bwana hivi cdm mbona mlikuwa mnachangiwa kufanya shughuli zenu sasa iweje mzuie watu wasichangie elimu?

Cdm kuchangiwa sawa ila elimu kuchangia kosa midomo juu!!
 
.
20210113_120104.jpg
FB_IMG_1603797348722.jpg
 
Hakuna elimu bure, labda bure elimu. Watoto wao ulishawaona huko kwenye elimu bure? jiongeze mkuu...kwa sasa tunajikita kukusanya mapato.
 
Michango ipo sana,,tena sana ,,,
kila siku ya MUNGU lazima mtoto umpe 800 shilling wanasema ya kula chakula mchana,,,
Kama mtoto hana pesa za ubwabwa anarudishwa nyumbani,,, hizo ni taarifa toka shule za tanga mjini..

Msambweni sec school iliyopo Tanga mjini,,,,watoto wasiokuwa na 800 za ubwabwa wanarudishwa nyumbani kila siku.
Hivi kweli mtoto akose elimu kisa tamaa za walimu?
Kama ni kwl michango mashuleni hakuna na imefutwa na serikali hii michango ya nn?

hivi mtoto kula mchana ubwabwa wa shule ni lazima?
Kama sio mradi wa walimu ni kitu gani?
Wewe unatakiwa kupimwa mkojo probably unatumia Ngada!Walimu wanaingiaje hapo?wasitii mamlaka toka juu??
 
Michango ipo sana,,tena sana ,,,
kila siku ya MUNGU lazima mtoto umpe 800 shilling wanasema ya kula chakula mchana,,,
Kama mtoto hana pesa za ubwabwa anarudishwa nyumbani,,, hizo ni taarifa toka shule za tanga mjini..

Msambweni sec school iliyopo Tanga mjini,,,,watoto wasiokuwa na 800 za ubwabwa wanarudishwa nyumbani kila siku.
Hivi kweli mtoto akose elimu kisa tamaa za walimu?
Kama ni kwl michango mashuleni hakuna na imefutwa na serikali hii michango ya nn?

hivi mtoto kula mchana ubwabwa wa shule ni lazima?
Kama sio mradi wa walimu ni kitu gani?
Pole sana mkuu. Umeandika kwa uchungu mpaka nimemkumbuka hayati Mh. F. Kabuye.
 
chief unachanganya madesa. Hii ni Chadema sema mkulu kachomekea kwenye campaign zake. I'm kidding lkn. don't take me SERIOUS
kama hujui hata elimu bure ilianzia kwa wapinzani,
sasa alichomekea na kuahidi bima ya afya kwa kila mtanzania sisi tunataka utekelezaji full stop.
 
Umeombwa kuchangia dawati unasema michango mingi bora ungelipa ada.
Haya tutajie na michango mingine uliyoambiwa na kiasi gani kwa kila item.
Sio unakuja kudanganya watu hapa.
Unatetea Nini hapo,
Kwani dawati siyo mchango, Indoa uzwazwa
 
Wewe unatakiwa kupimwa mkojo probably unatumia Ngada!Walimu wanaingiaje hapo?wasitii mamlaka toka juu??
Sidhani kama serikali ndy walibuni mambo ya ubwabwa mashuleni,,
Na huku wakituaminisha wazazi michango hakuna mashuleni..
 
Yaani upinzani mtanyooka,kama hutaki kuchangia michango kaa naa mtoto wako nyumbani shida iko wapi?

Majuha bwana hivi cdm mbona mlikuwa mnachangiwa kufanya shughuli zenu sasa iweje mzuie watu wasichangie elimu?

Cdm kuchangiwa sawa ila elimu kuchangia kosa midomo juu!!
Haha kubwa unaiacha inapanda kichwani na ubongo unaunya.
Kwahiyo Kila anayekosoa no mpinzani?
Ipo siku akili itawarudi
 
Back
Top Bottom