CCM: Dharura Kamati Kuu & NEC, Kuna Nini Huko?

- Mwenyekiti wa CCM hana excuse hapa ya kutoku-act, safu nzima ya uongozi wa juu wa CCM isipokuwa Msekwa, ni lazima iondoke now. Recently, Msekwa ambaye kwa kawaida ni a compromise wa Mafisadi, amekua akionyesha kuanza kuchoshwa na hilo kundi, kwa mfano ni yeye tena kwa ujeuri sana aliyeizima hoja ya kumsafisha Lowassa NEC iliyopita, aliposema kwamba Mwinyi alipojiuzulu uwaziri wa ndani hakusafishwa na NEC, bali ni wananchi wa Tanzania ndio waliomsamehe, sasa na Lowassa aende kwa wananchi, hoja ikafa.

- Ni Msekwa ndiye aliyeimaliza hoja ya Karume na term ya tatu na wala sio siri tena kwamba ni yeye Karume ndiye aliyekua behind the scheme, kwa hiyo huyu Msekwa ndiye the only sober man sasa hivi, wengine wote waondoke now. Tunaamini kitendo cha Mwenyekiti kuhamia Lumumba na kuchapa kazi mpaka saa tano za usiku, tena katika ububu wa ajabu sana ina maana moja kwamba sasa ngoma inogile, mapokezi ya ajabu ya Sendeka majuzi jimboni kwake yanasema mengi sana kuhusu muelekeo wa hiki chama. Kitendo cha Katibu kuchagua kamati yenye mafisadi watupu kwamba ndiyo iwe kamati ya kampeni CCM taifa uchaguzi ujao ilikuwa ni aibu inayohitaji Mwenyekiti sasa kuondoa uchafu now! Mwenyekiti wakati ni sasa, bado unaweza kubadili sura nzima ya urais wako kwa only one serious strike!

Mungu Aibariki Tanzania.

Respect.


FMEs!
 
- Mwenyekiti wa CCM hana excuse hapa ya kutoku-act, safu nzima ya uongozi wa juu wa CCM isipokuwa Msekwa, ni lazima iondoke now. Recently, Msekwa ambaye kwa kawaida ni a compromise wa Mafisadi, amekua akionyesha kuanza kuchoshwa na hilo kundi, kwa mfano ni yeye tena kwa ujeuri sana aliyeizima hoja ya kumsafisha Lowassa NEC iliyopita, aliposema kwamba Mwinyi alipojiuzulu uwaziri wa ndani hakusafishwa na NEC, bali ni wananchi wa Tanzania ndio waliomsamehe, sasa na Lowassa aende kwa wananchi, hoja ikafa.

- Ni Msekwa ndiye aliyeimaliza hoja ya Karume na term ya tatu na wala sio siri tena kwamba ni yeye Karume ndiye aliyekua behind the scheme, kwa hiyo huyu Msekwa ndiye the only sober man sasa hivi, wengine wote waondoke now. Tunaamini kitendo cha Mwenyekiti kuhamia Lumumba na kuchapa kazi mpaka saa tano za usiku, tena katika ububu wa ajabu sana ina maana moja kwamba sasa ngoma inogile, mapokezi ya ajabu ya Sendeka majuzi jimboni kwake yanasema mengi sana kuhusu muelekeo wa hiki chama. Kitendo cha Katibu kuchagua kamati yenye mafisadi watupu kwamba ndiyo iwe kamati ya kampeni CCM taifa uchaguzi ujao ilikuwa ni aibu inayohitaji Mwenyekiti sasa kuondoa uchafu now! Mwenyekiti wakati ni sasa, bado unaweza kubadili sura nzima ya urais wako kwa only one serious strike!

Mungu Aibariki Tanzania.

Respect.




FMEs!

Heshima kwako Field Marshall ES,

Maneno mazito sana mkuu wangu bila shaka hakuna mtanzania asiyetaka mabadiliko yamkini kimya kingi kina mshindo mkuu.Muungwana hawezi kukwepa kubeba lawama kwa kumchugua katibu mkuu bogus kama Mzee Makamba.
 
Dont put too much expectation behind this guy ........... mnategemea atakuja na kipya.

Sasa wamezichota hizo 300 bilioni anatishika ..... aendelee kuwachekea, watamng'oa.
 
Wakuu nilikuwa na swali hapa,nimekuwa nikisikia maneno kama "Changudoa wa kisiasa" "Malaya wa kisiasa" na maneno yanayoendana na hayo,wakati nikiwa bwa mdogo nilikuwa nikijiuliza ni kivipi maneno haya si ya kukoseana heshima?lakini kadri umri ulivyokuwa ukisogea,uelewa wangu kuhusiana na statements hizo nao ukawa wa tofauti,kwamba umalaya wa kisiasa si lazima kuwe na sexual intercouse involved.

Swali langu linakuja hapa;Je kuna uwezekano wa kuwa na mawazo ya kimalaya bila ya kuhusisha sexual intercouse,yani kwamba ukiwa na msimamo wa kimalaya malaya,inawezekana na mawazo yako ni ya kimalaya malaya?Yani yasiyokuwa na msimamo?
Nashangazwa sana mawazo kwamba kutakuwa na jipya hapa.

Certainly mtu mwenye mawazo ya aina hiyo ni rahisi kurubuniwa,na kama kuna mimba kwasababu ya umalaya,je kuna mimba za umalaya wa kimawazo?
Maana sasa tukiamini yanayosemwa sasa halafu yakaja kuwa tofauti hapo mbeleni hiyo si mimba isiyotarajiwa ambayo imesababishwa na umalaya?
Je matatizo yanapotokea hatujiulizi kwanini this time tumeamini licha ya kwamba tunadanganywa kila siku?

Je si tabia ya malaya kudanganywa kila siku?

Msaada tutani....
 
Lakini jambo la muhimu ni... Je, tutalalamika bila kuchukua hatua hadi lini? Kurasa kama hizi ndo za kuhamasishana na kuchukua hatua za kuleta mabadiliko. Oktoba inakuja, je, tumejiandaaje na tunaelimishaje umma wa Kitanzania kwamba miaka ya wanaotutawala imekwisha????

Mkuu Cocico
Kazi inafanyika sana lakini katika individual level, pengine matunda yake yatakuwa katika majumuisho ya ushindi wa jumla. Swala na hoja kubwa hapa ni utetezi unoonyesha wazi kuwa hatujitambui bado.
 
Kumbe sheikh Yahya ameshatutangulizia agenda za kikao hicho, anasema uchaguzi mkuu mwaka huu hautakuwepo
 
Hawa jamaa walionakiliwa na Tanzania Daima hapo chini wanahisa kubwa sana October, hawawezi kupuuzwa. Unajua wakiamua Kuchangua mbadala wao na kusema ni fulani na wakawaelekeza waumini wao walekeze ncha za pen zao Oktoba huko chochote kinaweza kutokea, labda ameamua kuchukua ajenda yao ambayo imekuwa ajenda ya tulio wengi kwa muda mrefu.

Tupunguze kumsakama JK kwa kilakitu ,hata kwa yale tunayoweza kuyaondoa kwa mikono yetu bado analaumiwa yeye! kama ishu ya mafisadi wote ni wabunge( wamechaguliwa na wananchi sio JK),kama ni u NEC-CCM (Wamechaguliwa na wana CCM sio JK), kama ni u CC-NEC (wamechaguliwa na NEC sio JK) sasa tuwapige chini kwenye uchaguzi then tone kama JK atawarudisha, kama ni kura za CCM sasa kila m CCM anapiga, mkiwapitisha then mkome kumsakama JK, aandamwe kwa makosa yake sio ya wananchi
 
Heshima kwako Field Marshall ES,

Maneno mazito sana mkuu wangu bila shaka hakuna mtanzania asiyetaka mabadiliko yamkini kimya kingi kina mshindo mkuu.Muungwana hawezi kukwepa kubeba lawama kwa kumchugua katibu mkuu bogus kama Mzee Makamba.

Kama ni U bogus basi wanao wa TZ kama wewe wanaofikiria kupata samaki mzima ndani ya kapo lililojaa mizoga( CCM) ndio maana wengine wameanza kumtaja Msekwa, Nyinyi ndo mlowatosa wa TZ, walipomchoka mkapa mkawaibulia MZOGA mpya, ulvyoanza kutoa harufu mkamruka na mnakimbilia kupekua kapo, mtaelewa lini??? hilo kapo mlipendalo halina samaki mzima hata mmoja,labda muwamwage samaki wote sio kubadilisha kapo DR.HASSY KITINE ( X- mkuu wa inteligensia na MNEC) anaejua vizuri siri zao keshasema tena mbele yao kwenye msiba wa mwakawago, bado mnabisha???????
 
very possible mkuu.... tumuombee apate jeuri ya kuwapiga chini japo wawili wawe mfano utaona nchi inabadilika

Nchi haiwezsi kubadilika kwa kumuondoa katibu mkuu na naibu wake lakini ukaibakiza system yote ikiwa intact!! Ili kuleta mabadiliko unahitaji kubadilisha mfumo, na sio musical chairs za kubadilisha personalities!!
Jakaya hana ubavu wa kufanya maamuzi magumu, anajiandaa kwa safari ya kwenda ughaibuni kwahiyo huo mkutano ni namna yake ya kuwaweka sawa wanachama wake!! IBN BATUTA amefufuka!!
 
Pengine bwana mkubwa anataka kujadili mkakati wa kuifufua upya KAULI MBIU ya ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya ambayo haitumiwi sana siku na viongozi wa CCM. Ni swala la kusubiri na kusikia kauli kali kali na mazimio mazito yasizotekelezeka
 
Anything can happen but I am afraid, Sitta may be dealt with appropriately as he desreves! Propaganda out the CCM meetings may cost him darely and things may not be as difficult as he may be thinking. He defers with most of the Nyamwezi and Sukumas also and hence he don't have enough wananchi back up and removing him from CCM, can bring harmony to CCM before the elections!!!
However, CCM itself do not have strong leaders who dares to take strong measures!!!! But they can take measures on how they robe the Wananchi of their votes, taxes and even possible blood (violence due to rigging in elections-Pemba).
It is at this time that some smart guys may take opportunity to strength up the October agenda and make sure that we have enough opposition MPs in the parliament and even the speaker would have been very good if he comes from opposition! At least we will have a taste of something we have not tasted before!!
 
-JK namfananisha na Headmaster wangu wa O-level ktk utendaji wake.Alikuwa anaamuru emergency bell igongwe na wote wawe parade,mkikusanyika anaanza kuchimba biti kali kwamba sasa lazima watu wafukuzwe,mwisho anaishia kucheka na kubembeleza watu.

Yaani kwa kila kitu wamefanana,kuvaa,kutafuta umaarufu,sifa zisizo na tija,kusafiri yaani kila kitu wamefanana.
 
Kama makinda ya ndege tunduni.. twasubiri tulishwe.

Baby-birds101.jpg
 
Watajadili kuumbuliwa na Dr. Slaa .. kwanini walimchomekea vipengele ktk muswaada alitia mkono juzi kwa mbwembwe
 
Ni vizuri tukisubiri lakini huku tukuangalia experience yetu.

1. Tunaelekea kwenye uchaguzi, na kuna dalili CCJ imeanza kufurukuta, ilidhaniwa hoax
sasa inakuwa really wanaanza kuichukulia seriously. Watu watishwa kutokana na
kuhusishwa na CCJ
2. Inawezekana kabisa itapigwa politiki na hakuna chochote substantial kwa manufaa ya
taifa, labda kutakuwa na kitu kwa mslahi ya CCM au ya wachache CCM.
 
Wameona kuwa mambo yao yatakwenda vizuri sana ila kama wanaweza kufanya hivyo basi itakuwa safi kwao ila wanapima upepo wa mambo unakwenda vipi
 
Back
Top Bottom