Kama NEC iliyokaa kikao cha dharura imejadili suala la Bandari na DP World, nini kimefanya iwe dharura? Bandari ipo salama?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,119
Kuna taarifa kwenye magazeti kwamba katika kikao cha dharura cha NEC hoja kuu ni mkataba wa bandari. Lakini nijuavyo mimi hii siyo dharura wala hoja yakujadili kwa masaa kadhaa ikafungwa au kutolewa maamuzi bali ni hoja inayohitaji muda wa kutosha.

Nini kimepelekea iwekwe kwenye kikao cha dharura? Je katika kikao hicho aliyeipeleka kwa Dhararu amelenga mema au mabaya? Kwa udharura huu tunaamini bandari itakuwa salama chini ya TPA au imekabidhiwa DP world na NEC?
 
Kuna taarifa kwenye magazeti kwamba katika kikao cha dharura cha NEC hoja kuu ni mkataba wa bandari. Lakini nijuavyo mimi hii siyo dharura wala hoja yakujadili kwa masaa kadhaa ikafungwa au kutolewa maamuzi bali ni hoja inayohitaji muda wa kutosha.

Nini kimepelekea iwekwe kwenye kikao cha dharura? Je katika kikao hicho aliyeipeleka kwa Dhararu amelenga mema au mabaya? Kwa udharura huu tunaamini bandari itakuwa salama chini ya TPA au imekabidhiwa DP world na NEC?
Majizi yaliyojazana NEC yanafanya maamuzi dhidi ya umma wa milion 61+

Hatuna Baraza la Mawaziri lenye nguvu
Hatuna Bunge thabiti linalojitambua
Hatuna Mahakama inayosimamia hekalu la.haki
Hatuna mfumo imara wenye kusimamia maslahi mapana ya Taifa

Tuna kikundi cha watu kinachoimega keki ya taifa watakavyo
 
NEC gani hiyo yenye nguvu ya kuamulia watanzania?. NEC inaishia CCM tu. Sema inapata nguvu kwasababu bunge ni dhaifu na Baraza la mawaziri limejaa machawa.
NEC si ndiyo inapitisha majina ya wagombea
Na hao watu wa NEC ndani ya mikoa na wilaya wakisema hawamtaki mkuu wa mkoa au wa wilaya wanaondolewa

CCM inasikiliza na kuheshimu zaidi NEC kuliko bunge na mahakama.
 
Hamas hawatakagi ujinga

Pana siku uko vizuri sana mkuu.

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Ninakazia:

Hii ni orodha fupi ya wenye ujasili wa kumkabili CCM. Kama hauko humo kuwa tayari kujiunga na CCM. Hao ni wenzako hujijui tu:

1. Wanaompinga Israel na udhwalimu wake Gaza.
2. Wanaowaunga mkono wapalestina dhidi ya uvamizi wa Israel.
3. Wanaotambua kuwa vita vya wapalestina ni vya ukombozi.
4. Wanaotambua kuwa vita vya Israel ni vya uvamizi.
5. Wanaotambua vita vya Urusi huko Ukraine ni uvamizi.
6. Wanaotambua vita vya Ukraine dhidi ya Urusi huko Ukraine ni vya ukombozi.


Pia kama uko humo na uko CCM ondoka tu huko, hakukufai.
 
Pana siku uko vizuri sana mkuu.

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Ninakazia:

Hii ni orodha fupi ya wenye ujasili wa kumkabili CCM. Kama hauko humo kuwa tayari kujiunga na CCM. Hao ni wenzako hujijui tu:

1. Wanaompinga Israel na udhwalimu wake Gaza.
2. Wanaowaunga mkono wapalestina dhidi ya uvamizi wa Israel.
3. Wanaotambua kuwa vita vya wapalestina ni vya ukombozi.
4. Wanaotambua kuwa vita vya Israel ni vya uvamizi.
5. Wanaotambua vita vya Urusi huko Ukraine ni uvamizi.
6. Wanaotambua vita vya Ukraine dhidi ya Urusi huko Ukraine ni vya ukombozi.


Pia kama uko humo na uko CCM ondoka tu huko, hakukufai.
Namba 6 umezingua
 
Majizi yaliyojazana NEC yanafanya maamuzi dhidi ya umma wa milion 61+

Hatuna Baraza la Mawaziri lenye nguvu
Hatuna Bunge thabiti linalojitambua
Hatuna Mahakama inayosimamia hekalu la.haki
Hatuna mfumo imara wenye kusimamia maslahi mapana ya Taifa

Tuna kikundi cha watu kinachoimega keki ya taifa watakavyo
Herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering of their bosses, manipulation or working in favor of group objectives, (conflict of interest) without the consideration of the next generation. defined by, Ipyana Benny Haraba
 
Back
Top Bottom