Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,528
- 2,695
Wasalaam,
Hii nchi si Mali ya CCM ni Mali ya watanzania wote inashangaza na kusikitisha jinsi CCM mnavyochezea amani ya taifa hili. Ni kwanini mnawanyima form wagombea wa vyama pinzani?
Mna hofu gani wakati chama kinapendwa na wadanganyika takribani wote?
Kwanini mnaagiza watendaji wa kata kufunga ofisi ili wagombea wa upinzani wasichukue form ili hali wagombea wa CCM wanapekekewa form nyumbani?
Acheni ubabaishaji na mambo ya kishamba ya kubaka democrasia ipo siku mtakumbuka shuka kumekucha mnakera kwa kweli. Ovà.
Hii nchi si Mali ya CCM ni Mali ya watanzania wote inashangaza na kusikitisha jinsi CCM mnavyochezea amani ya taifa hili. Ni kwanini mnawanyima form wagombea wa vyama pinzani?
Mna hofu gani wakati chama kinapendwa na wadanganyika takribani wote?
Kwanini mnaagiza watendaji wa kata kufunga ofisi ili wagombea wa upinzani wasichukue form ili hali wagombea wa CCM wanapekekewa form nyumbani?
Acheni ubabaishaji na mambo ya kishamba ya kubaka democrasia ipo siku mtakumbuka shuka kumekucha mnakera kwa kweli. Ovà.