Casual Conversation: DAE struggle to maintain friendships?

Casual Conversation: DAE struggle to maintain friendships?

I think it's okay to be that way

I like hanging out with friends from time to time but it gets boring to always maintain a conversation with them through chatting or phone call unless iwe kitu muhimu

Siku hizi WhatsApp status imesaidia ndo unashangaa unamtext mtu ukiona kapost kitu n life goes on.

I've been betrayed by friends once , nikajifunza sio kila ajifanye rafiki ni rafiki kweli ,Tena kwetu wadada umbeya ndo umejazana .
Rory Asante sana.
 
Marafiki wangu wengi ni wazee wa ulabu. Kuitana kwenda kupiga maji.

Wengine ambao siwezi kuwahesabu kama marafiki ni wafanyakazi wenzangu, na wale wa vikundi mbali mbali vya mtaani mfano kamati, kikundi cha kusaidiana kwenye misiba. Hawa sio marafiki zangu japo tunatumia muda mwingi pamoja.
Na kwenye matatizo tunatatua pamoja.

Nikirudi kwako, wewe unaonekana unapenda kusoma na kujifunza vitu vingi sasa huo muda wa kutuma meseji na simu zisizokauka utatoka wapi. Hilo sio tatizo tena mshukuru Mungu.
Kwa siku natumia masaa matatu tuu kujifunza mambo mapya sikosi muda bana mzee toboa.
Btw, your comment is well appreciated.
 
Asante KANA kwa maoni yako.

"Pia kadri unavyokua smart upstairs, ndio unavyozidi kua na marafiki wachache" kwanini?
Ukiwa smart, unafahamu limits zako. Utafahamu umuhimu wa uhuru kwako na kwa hao marafiki. We all need space and only smart people know this. Pia urafiki mwingi unabebwa na drama zisizo za lazima. Ukiwa smart, you can simply tell shit ain't real. Urafiki wa kugandana unapaswa kuishia sekondary sweetheart!
 
Baada ya kuoa rafiki yangu amekuwa wife. Urafiki wa kuambiana issues za ndani kabisa ni hatari sana, ilà pia sipendi huo urafiki ambao nakuwa na ulazima wa kumuandikia mtu, kwamba nisipoandika/nisipopiga atanielewa vibaya.
Wife tuu anatosha Eli?
Kweli utakosa yule "mshikaji " ambaye hata wife akisumbua unaomba ushauri?
 
There are a lot of them like being honest, making time and showing appreciation for others, lowering or even altering your expectations and not making assumptions.

Being compassionate, like doing what is right rather than being right. Appologizing when you make a mistake. I could go on forever.
Thank you Chaliifrancisco.
 
Nafkiri si mbaya kuwa na marafiki ama kutokuwa nao kabisa inategemea na wewe ni mtu wa namna gani

Lakini kitu nilichogundua pia as we grow old majukumu yanaongezeka na baadhi ya mambo ya kale yanapungua so it might be relation or other stuffs .. Khy mtu unakuwa consisted his daily schedules

Binafsi nafkiri nafahamiana na watu wengi ila sina rafiki and its okay kwa upande wangu ..vitu vyangu najishirikisha mwenyewena Mungu wangu ,vingine vingine bi mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Here Bey is talking about being her ‘own best friend’.

Although the ballad is about a breakup of a romantic relationship, the mesage is beyond that.

Wow!! MM&I is my favorite Beyonce Song.
 
U might be rig

U real real need friends.. Humjui tu opportunities mnazopoteza just kwa kuamua kuishi hayo maisha.. Hasa kama ni mfanyabiashara marafiki ni muhimu sana but kama Wewe ndio wale wa maofisini wanaosubiri kukinga mwisho wa Mwezi labda marafiki hawakusaidii chochote..
Nitalifanyia hili kazi Fendi. Asante kwa ushauri.
 
Wakati huo sina, sababu kiuhalisia urafiki hauombwi kama watu wanavyoupa kazi ambayo sio yake wala si asili yake,leo hii unakuta watu wanaomba urafiki unajiuliza,hawa wanaujua urafiki au ? Urafiki huja tu na huu ndio asili na ndio huwa wa kweli, sisi Waswahili tunasema hivi "Ndege wafananao ndio huruka pamoja" ukiona hufanani na wenzako ujue watakuacha tu.

Sasa naanzaje ku "maintain" urafiki wakati sijaomba urafiki, nikiona hatufanani "autimatically" urafiki unakufa.
Nimekuelewa Zurri.
 
tafuta ule uzi wa "introverts & shy people" utajua kwa nn upo hvo

link yake hii hapa

Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mimi sio introvert, shy wala anti social.
Napenda kujichanganya na watu, kupiga strory, kutoka out na ni mchangamfu sana mpaka wanatamani kila siku niwepo.

Lakini tatizo langu ni kuuendeleza urafiki niliouanzisha. Kwa mfano tunaweza kula bata leo pamoja, au tukasafiri pamoja tukakaa hata wiki pamoja. Ila tukishaachana napata ugumu wa kuuendeleza huo urafiki.
 
Yaani you are another version of me.
Kwanza kabisa mimi nina marafiki wengi.
I love them . Ila i have 3 best friends. And i love them for no good reason. 2 men and one lady. In my life i really hate kufatana kila mahali na a soo called best friend. Kwanza wote kama yaani sina muda. Yaan sipendi kugandana na mtu. And thats why our bond is still. Tunaweza kaa hata mwezi ama zaidi hatujasalimiana. Ila the day we talk tutaconversate sana. After there ni kama hatujuani
Kugandana kila mahali sucks. I love freedom. Ni marafiki wa moyoni mwangu na si wa kuchat kila saa. And as i grow older ndo cycle yangu imepungua balaa. And this is the best. U dont have to feel bad about it hun. Kula siku kuchat same thung lazima ibore. Just keep being u. Do what makes ur heart happy. Travel a lot. Drink, dance etc. Marafiki sometimes can turn ur life into a grave yard.
Keep being u hun

Sent using Jamii Forums mobile app
Me too, I am seeing a lot of myself in this comment. Thank you Pendo.
 
Mimi naona hamna tatizo.
Kipindi cha nyuma nilikuwa na marafiki wengi ila the older I get, the less I want to interact with people. Kwa sasa sina marafiki au hata rafiki.

Sababu mojawapo ni Trust issues. Marafiki niliowaamini walinigeuka na kutenda vitu ambavyo hata adui yangu kamwe asingeweza kufanya. Tangu pale siamini mtu yoyote kuwa rafiki yangu bora niwe mwenyewe.

Nakushauri bora ubaki kama hivyo, mazoea ya kufatanafatana ndo unafiki na chuki zinapoanziaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Trust issues_Drake







All I care about is money and the city that I am from..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom