fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,108
- Thread starter
- #61
ndio urithi wewe,mbona zamani sana kulikuwa hakuna haya mambo ya uchumi sijuiMbona tumekuwa so sensitive sana kwa sisi waafrica. Ukisema nguvu za kiumu kila mtu atatoa attention yake..lakini ukitaja vingine hamna anayejali..hii inaonyesha ni kwa jinsi tunapenda haya mambo!!
Ndio maana uchumi wetu haukui kwa double digit...