Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Ndovu iko juu sananaona hata avator yako,thanks
Ndovu iko juu sananaona hata avator yako,thanks
eeeh,sijakusoma!na wewe unajua huyu jamaa ni mchomekaji?
ina maana ndio umepata kiu kiasi hiki.....?
Heeeeeeeeee!!!!!!!!!! Kumbe upo!
Nimeambiwa Ndovu zinapunguza Nguvu zetu, sasa nazikata mpaka ziishe kabisa
Basi bia,soda nk zote mbaya!zinapunguza hamu!kunywa juice kwa afya yako na maji.
sasa nguvu zikiisha itakuwaje Mungi.....?.....usilete masihara ujue........
Basi bia,soda nk zote mbaya!zinapunguza hamu!kunywa juice kwa afya yako na maji.
kitu ni castle milk stout. mimi penda sana yeye.