CAS is now open for 2nd round applications only

CAS is now open for 2nd round applications only

ko kama hujakosa nafasi it means hauambiwi kam uapply tena,na utajuaje kama umechaguliwa mkuu?
 
Samahani wakuu huyu kaambiwa aapply tena ikaandika hivi inamaana tayari au??
 

Attachments

  • 1441882079584.jpg
    1441882079584.jpg
    36.2 KB · Views: 344
Samahani wakuu huyu kaambiwa aapply tena ikaandika hivi inamaana tayari au??

Nope anaambiwa vigezo minimum anavyo ila kuchaguliwa itategemea na priority aloeka yeye na ushindani kutoka kwa wanafunzi wenzie waliochagua io coz kumbuka aliefaulu zaidi ndo mwenye nafasi kubwa yakupata coz ynye ushindani mkubwa
 
Nope anaambiwa vigezo minimum anavyo ila kuchaguliwa itategemea na priority aloeka yeye na ushindani kutoka kwa wanafunzi wenzie waliochagua io coz kumbuka aliefaulu zaidi ndo mwenye nafasi kubwa yakupata coz ynye ushindani mkubwa

Sasa anatakiwa afanyaje??? Maana hii inatakiwa achague coz 1 tu
 
Vp wakuu hvi kama inatakiwa uaaply tena kwa mar y pli,ukiingia kwenye profile inaandikaje?
 
Kama hujakutana na ujumbe kama huo kwenye profile yako basi utafanya 2nd round,lakini kama umepata ujumbe huo kwenye profile yako basi provision results nikuwa utakuwa umechaguliwa among of your sweater choice.

So it means ukiona ujumbe huo...you are safe.
 
Tuki view selected coz alochagua haipo. Msaada plz kabla hajatujachelewa
 
sasa ukikuta yale maneno yao tcu yanamaanisha umechaguliwa katika koz ambayo ilikua fist priorty au vp wakuu
 
Ndiyo yani umemeet mahitaji ya kozi husika lakini kuchaguliwa kwako kutatokana na ushindani wa kozi hiyo.

Ahsate ndugu. Kwahyo nachotakiwa ni kusubiri Kama ntachaguliwa tena??
Lakini hakuna kithibitisho kwamba hyo coz imeingia kwenye system ndomana nawasiwasi
 
Back
Top Bottom