Wakuu mbona haijabadilika chochote???
What does this mean?
mbona hata mimi haijabadilika hakuna chochote kwenye plofile langu
Wakuu mbona haijabadilika chochote???
What does this mean?
nimeingia kwenye akaunti yangu ,hakuna chochote ,au ndo ina process?
Kunajamaa yang amefungua amekuta tangazo aaply upya.na mwisho ni tar 18 september.mi kwangu kumeandikwa procesing.ila hawajaonesha chuo walicho nichagua.
Msada kaka zangu ntakuwa nilikosea wapi wa jameni?? Msaada tafazari
Huenda kuna ukweli ,maana maybe kuna vyuo reporting time yake ni mapema so inabd wawe wamepangwa mapema ,so inawezekana it depend na vyuo ulivyochagua.huo jamaa alitoa hiyo taarifa athibitishe bhas mbona mi sielewi ukweli upo wapi na jamaa yangu kaingia kakuta kwenye profile lske hakuna kitu kama hicho bhana tusipeane plesha. toeni taarifa zenue uhakika
Majibu ya NACTE na TCU huwa yanaambatana.. msiwe na preshaaNa kwa yule aliyetuma NACTE je?
mbona hata mimi haijabadilika hakuna chochote kwenye plofile langu
Changamkeni asee.. mwaka jana mida kama hii kilikua kishanuka
Kuna mda waliniandikia hivi