akilikubwa
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 590
- 108
Ahsate ndugu. Kwahyo nachotakiwa ni kusubiri Kama ntachaguliwa tena??
Lakini hakuna kithibitisho kwamba hyo coz imeingia kwenye system ndomana nawasiwasi
Unajua sababu ya kufanya choice 5?kama unajua basi you dont have to wory..kama hujui am sory but kama kuna kozi uliweka choice ya 5 lakini huipendi unaweza jikuta umetupwa humo..