CAS is now open for 2nd round applications only

CAS is now open for 2nd round applications only

ivi wakuu iz namba za kwnye priotry1 ad three unakuta mia tano or may b mia nne znaplay part gani kwenye selection
 
ivi wakuu iz namba za kwnye priotry1 ad three unakuta mia tano or may b mia nne znaplay part gani kwenye selection

ni 1 to 5, opera ya simu kama ninayotumia mimi huwa inagomea 3 ila ni mpaka tano, hizo ni namba za unaoshindana nao kabla ya deadline kama wiki 2 kabla database yao ilizingua ilikuwa unajipa matumaini kwamba mpo wachache kumbe mpo buku system yao ilikuwa haijiupdate mpaka baada ya deadline ndo zimekuja halis so unaweza kujilinganisha point zako na hao raia buku kama una chance ya kucompete nao, too bad kubadilisha haiwezekani.
 
hawa tcu wanabore haiwezwkani hili limtandao lao linagoma likifungua hakuna kitu very bored
 
hawa tcu wanabore haiwezwkani hili limtandao lao linagoma likifungua hakuna kitu very bored

Bora wangeongeza muda tu maana wadogo zetu kwenye vikosi vyao ndio wanamaliza jkt...wapewe muda kidogo wa kuomba ambao hawakuomba na marekebisho kidogo ili tu wasije kosa vyuo kama mwaka jana
 
Bora wangeongeza muda tu maana wadogo zetu kwenye vikosi vyao ndio wanamaliza jkt...wapewe muda kidogo wa kuomba ambao hawakuomba na marekebisho kidogo ili tu wasije kosa vyuo kama mwaka jana

Hivi kuna ambao walikuwa jkt hawakupata nafasi ya kuomba chuo? Nachofahamu kila kambi ilitoa pasi watu wakaapply
 
VP wakuu TCU cas haifunguki ni tatizo la mtandao au kwangu tu ndo error?
 
Wakuu nimeingia CAS profile yng imeandika hivi
 

Attachments

  • 1441878832629.jpg
    1441878832629.jpg
    23.1 KB · Views: 400
hatimae sasa wanafungua 2nd round, na mimi pia hyo message ipo, ila tusubiri mpaka jioni ndo tutapata uhakika kama tumepata selection kwenye choice zetu au kama watatwambia 2nd round
 
hatimae sasa wanafungua 2nd round, na mimi pia hyo message ipo, ila tusubiri mpaka jioni ndo tutapata uhakika kama tumepata selection kwenye choice zetu au kama watatwambia 2nd round

Kama hujakutana na ujumbe kama huo kwenye profile yako basi utafanya 2nd round,lakini kama umepata ujumbe huo kwenye profile yako basi provision results nikuwa utakuwa umechaguliwa among of your sweater choice.
 

Attachments

  • 1441879885584.jpg
    1441879885584.jpg
    20.8 KB · Views: 366
Wakuu nimekuta hivyo katika profile yangu, na zile selections za programme mbalimbali za vyuo hazipo bali kuna maneno mengne yameandkwa, sijui wengne mmepata hvo hebu tujuzane.

Whats going on TCU?
 
Kama ulishafanya application unatakiwa uingie kwenye akaunti yako sasa hivi ili kujua kama unatakiwa kufanya tena application nawasilisha
 
Back
Top Bottom